Uadilifu na Ubunifu kwa Utoaji Huduma Bora kwa Umma
Kamati za Utekelezaji wa Serikali Mtandao na kazi zake
06th May 2020
Kamati za Utekelezaji wa Serikali Mtandao zimeanzishwa ili kuisaidia Mamlaka katika utekelezaji wa Sheria ya Seikali Mtandao ili kuwa na matumizi ya TEHAMA yenye tija.