e-Vibali

e-Vibali

e-Vibali ni Mfumo uliosanifiwa na kutengenezwa kwa manufaa ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ili kusimamia na kuratibu utoaji wa vibali vya kusafiri nje ya nchi kwa watumishi wa umma.

Sifa za Mfumo

Manufaa

  • star
  • star
  • star
  • star
  • star
    • Inarahisha utoaji wa vibali vya kusafiri nje ya nchi kwa watumishi wa umma
    • Watumishi wa umma wanaweza kuomba kibali kwa njia mtandao
    • Mtumishi anaweza kufuatilia maendeleo ya kibali alichoomba
    • Ni njia rahisi na ya haraka na inaokoa muda

    Wasiliana Nasi

    • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,
    • Mamlaka Ya Serikali Mtandao
    • Mamlaka ya Serikali Mtandao 8 Barabara ya Kivukoni, Jengo la Utumishi
    • S.L.P 4273, Dar es Salaam
    • +255222129868
    • info@ega.go.tz