Mfumo wa Usimamizi wa Mafunzo na Semina (TSMS)

Mfumo wa Usimamizi wa Mafunzo na Semina (TSMS)

Mfumo wa Usimamizi wa Mafunzo na Semina (TSMS) umetengenezwa kwa ajili ya utunzaji kumbukumbu, kutoa taarifa za mafunzo na kufuatilia taarifa za wakurufunzi na wakufunzi zinazohusu mafunzo, semina, warsha,mikutano ya mwaka na vikao vya mifumo na huduma za Mamlaka ya Serikali Mtandao

Sifa za Mfumo

Faida za Mfumo wa TSMS

  • star
  • star
  • star
  • star
  • star
    1. Inaokoa fedha na muda kwa sababu mtumiaji anatakiwa kutumia intaneti
    2. Ratiba imeingizwa kwenye akaunti za wakurufunzi kulingana na makundi yao
    3. Mtumiajai atapata nyenzo za kujifunzia kwa urahisi
    4. Upatikanaji wa taarifa za mafunzo kwa urahisi
    5. Mamlaka inaweza ikaona taarifa za wakufunzi/wawezeshaji mahali na taarifa nyingine muhimu kwa ajili ya kutoa uamuzi wa mafunzo ya baadae.
    6. Inatengeneza namba ya malipo kwa mwombaji iwapo mafunzo yalipangwa yanahitaji kulipiwa

    Nawezaje Kutumia Mfumo wa TSMS?

  • star
  • star
  • star
  • star
  • star
    1. Chapa https://tsms.ega.go.tz
    2. Logia au sajili kama hauna akaunti
    3. Chagua ratiba ya mafunzo
    4. Lipia kwa kuomba vipindi vilivyopangwa
    5. Hudhuria mafunzo kama yalivyopangwa

    Moduli Za Bidhaa

    Moduli za TSMS

    Moduli za TSMS

    TSMS ina moduli sita ambazo ni Mafunzo na Semina, Taasisi, Huduma, Mahali, Usimamizi wa Mtumiaji na Ripoti

    Mafunzo na Semina

    Mafunzo na Semina

    Moduli hii inakuwezesha kujisajili kwa ratiba za mafunzo yote (Mafunzo/Semina/Warsha/ Mikutano ya Mwaka, n.k). Pia, inao...

    Taasisi

    Taasisi

    Moduli hii inatoa fursa ya kutunza taarifa kuhusu taasisi na kuongeza au kupunguza taarifa hizo

    Huduma

    Huduma

    Moduli hii inatoa taarifa kuhusu bidhaa za serikali mtanda zinazohusiana na raiba iliyopo

    Mahali

    Mahali

    Moduli hii inatoa fursa ya kujua mahali kulingana na ratiba ili kumwezesha mtumiaji kupata taarifa

    Usimamizi wa Mtumiaji

    Usimamizi wa Mtumiaji

    Moduli hii inaonesha watumiaji wote waliosajiliwa na hali yao kama ni amilifu (active) au si amilifu (inactive). Pia ina...

    Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara

    Nifanyeje iwapo wakati wa mchakato wa usajili kwenye mfumo wa TSMS, napata viashirio kuwa baruapepe yangu tayari imekwishachukuliwa

    Nenda kwenye baruapepe yako kuangalia baruapepe ya kufungua ili uweze kutumia akaunti yako. Kama hakuna baruapepe, toa t...

    Nawezaje kufungua akaunti yangu ya TSMS baada ya kusajiliwa kwenye mfumo wa TSMS?

    Baada ya kusajili akaunti yak tu, utapokea baruapepe yenye linki ya kufungua. Bofya kufungua akaunti yako ya TSMS

    Wasiliana Nasi

    • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,
    • Mamlaka Ya Serikali Mtandao
    • Mamlaka ya Serikali Mtandao 8 Barabara ya Kivukoni, Jengo la Utumishi
    • S.L.P 4273, Dar es Salaam
    • +255222129868
    • info@ega.go.tz