emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO/IEC 27001:2022 | ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Mkurugenzi wa Usimamizi wa Huduma za TEHAMA kutoka Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA) Eng. Benedict Ndomba amesema kuwa eGA imepewa mamlaka na wajibu wa kuratibu kusimamia na kukuza jitihada za Serikali Mtandao pamoja na kuhimiza utekelezaji wa Sera, Sheria, Kanuni, Viwango na miongozo kuhusu Serikali Mtandao katika taasisi za umma.Kwa mantiki hiyo, Mamlaka ina wajibu wa kuhakikisha matumizi ya TEHAMA Serikalini yanakuwa bora ili kuboresha utoaji...

Soma Zaidi
Mpangilio