Mtandao wa Mawasiliano Serikalini (GovNet)

Mtandao wa Mawasiliano Serikalini (GovNet)

Mamlaka ya Serikali Mtandao ilianzisha Mtandao wa Mawasiliano Serikalini (GovNet) ambao ni salama, rahisi na wenye kuaminika kwa ajili ya kurahisisha mawasiliano ndani ya Serikali. Kutokana na jitihada hizo, Wizara, Idara na Wakala 72, Mamlaka za Serikali za Mitaa 77 katika mikoa 20 ya Tanzania Bara na taasisi za umma 18 zilizopo mji wa Serikali Mtumba Jijini Dodoma zimeunganishwa kwenye mtandao huo. Nyingi...

Manufaa

Inaipunguzia Serikali gharama ya mawasiliano

Inaboresha mawasiliano ya kielektroni mathalani data, sauti na video.

Inaongeza kasi ya intaneti

Inawezesha kutumia mifumo shirikishi ya TEHAMA

Inaongeza ufanisi wa kazi na kuboresha utoaji wa huduma kwa umma

Taasisi za umma zinaweza kuwasiliana kwa simu za mezani kama vile zimeunganishwa katika jengo moja.

Simu za IP zinaweza kutumika kufanya vikao kwa taasisi za umma

Mtandao shirikishi, salama na wa gharama nafuu katika utendaji na utoaji wa huduma kwa ufanisi

Tazama Video

Wasiliana Nasi

  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,
  • Mamlaka Ya Serikali Mtandao
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao 8 Barabara ya Kivukoni, Jengo la Utumishi
  • S.L.P 4273, Dar es Salaam
  • +255222129868
  • info@ega.go.tz