emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015
ega Logo
Mifumo na Huduma
ega-svg-tree
Usajili wa Anwani za Tovuti za Serikali

Mamlaka ya Serikali Mtandao ni msajili pekee wa majina ya vikoa vya  .go.tz na .mil.tz. Hivyo, eGA inamamlaka ya kisheria ya kusajili majina ya vikoa vyote ya mitandao kwa Taasisi za Serikali. Hii ni katika kutekeleza Sera ya Taifa ya TEHAMA (2003).

    Usajili wa Anwani za Tovuti za Serikali
    Mpangilio