emblem

Mamlaka ya Serikali Mtandao

Uadilifu na Ubunifu kwa Utoaji Huduma Bora kwa Umma
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015

Ijue Sheria ya Serikali Mtandao


Ijue Sheria ya Serikali Mtandao


Lengo la Sheria ya Serikali Mtandao ni kuhakikisha kwamba Serikali inapata thamani halisi kwenye uwekezaji wa TEHAMA kwa kuwa na utendaji kazi Serikalini ulioboreshwa, utoaji huduma bora kwa umma zinazopatikana kwa urahisi, haraka na kwa gharama nafuu mahali popote na kwa wakati wowote bila kufika ofisi husika.

Tazama zaidi