emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), imemtangaza Afisa TEHAMA Bw. Obed Makombe kuwa mfanyakazi bora wa Mamlaka kwa mwaka wa fedha 2024/2025 huku uwajibikaji na weledi vikitajwa kuwa msingi mkuu wa ushindi huo.Uchaguzi wa mfanyakazi bora wa Mamlaka ulifanyika Februari 26, mwaka huu, baada ya kuwashindanisha wafanyakazi bora 10 kutoka katika idara na vitengo, na kisha Menejimenti kupiga kura ili kumpata mfanyakazi bora wa Mamlaka kwa mwaka wa fedha...

Soma Zaidi

Mfumo wa eMrejesho toleo la pili (eMrejeshoV2) kutoka Tanzania,umechaguliwa kuwania Tuzo za Mkutano wa Dunia wa Jumuiya ya TEHAMA mwaka 2025 (World Summit on the Information Society -WSIS 2025).Tuzo hizi hutolewa na WSIS, kwa uratibu wa Shirika la Mawasiliano la Umoja wa Mataifa (International Telecommunications Union - ITU), kwa lengo la kutambua na kuchochea miradi bunifu, inayotumia TEHAMA katika kuchangia maendeleo endelevu duniani.Mfumowa eM...

Soma Zaidi

Watumishi wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), wametakiwa kulinda na kuimarisha afya zao kwa kufanya mazoezi mara kwa mara, ili kuepukana na hatari ya kupata magonjwa sugu yasiyoambukizwa.Hayo yalisemwa na Dkt. Hafidh Ameir, Afisa anayeratibu Afua za VVU mahali pa kazi ngazi ya taifa, katika sekta ya umma kutoka Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS), Februari 27 mwaka huu, wakati wa kikao cha mwaka cha watumishi jijini Dar Es Salaam.Aliba...

Soma Zaidi

Watumishi wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), wametakiwa kuimarisha na kuendeleza uadilifu kazini ili kuhakikisha Mamlaka inatekeleza majukumu yake kwa weledi na ufanisi zaidi. Wito huo umetolewa na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka hiyo Mhandisi Benedict Ndomba Februari 26 mwaka huu, wakati akifungua kikao cha wafanyakazi wa Mamlaka kilichofanyika katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam.Alisema kuwa, ili Mamlaka iendelee kutekeleza...

Soma Zaidi

Katika kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani mwaka 2025, Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), imetoa msaada wa vifaa tiba na mahitaji muhimu kwa wajawazito na akina mama waliojifungua, katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma (General) na Hospitali ya Mbagala ya jijini Dar es Salaam. Akizungumza baada ya kukabidhi msaada huo, Meneja Mawasiliano wa e-GA Bi. Subira Kaswaga alisema, e-GA inatambua umuhimu wa kumuwezesha mwanamke mwenye uhitaji ili...

Soma Zaidi
Mpangilio