emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), inatarajia kufanya kikao kazi cha nne (4) cha Serikali Mtandao Februari 6 hadi 8, mwaka huu katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Arusha (AICC) jijini Arusha.Akizungumza ofisini kwake jijini Dodoma, Meneja Mawasiliano wa e-GA Bi. Subira Kaswaga amesema, lengo la kikao kazi hicho ni kuwakutanisha wadau wa Serikali Mtandao kutoka katika taasisi na mashirika mbalimbali ya umma, ili kujadili jitihada mbalimbali...

Soma Zaidi

Afisa Uchunguzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Bi. Dorothea Mrema, amewataka watumishi wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) kuzingadia uadilifu na weledi katika utekelezaji wa majukumu yao ili kujiepusha na vitendo vya rushwa.Bi Dorothea alitoa kauli hiyo Januari 6 mwaka huu, wakati akitoa elimu kuhusu rushwa mahala pa kazi kwa watumishi wa e-GA, kwenye mkutano wa watumishi hao uliofanyika katika ukumbi wa Makumbusho...

Soma Zaidi

Kundi kubwa la watumishi wa umma, lipo katika hatari ya kupata magonjwa sugu yasiyoambukiza kutokana na mwenendo wa maisha usioridhisha ikiwa ni pamoja na kutokuwa na tabia ya kufanya mazoezi na ulaji usiozingatia mpangilio sahihi wa lishe.Hayo yamebainishwa na Afisa anayeratibu Afua za VVU mahali pa kazi ngazi ya taifa, katika sekta ya umma kutoka Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) Dkt. Hafidh Ameir, wakati akitoa elimu kuhusu VVU, UKIM...

Soma Zaidi

Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), imesema kuwa itaendeleza utaratibu wa kutoa mafunzo kwa Maafisa TEHAMA wa taasisi za umma ili kuwajengea uwezo na kuwa na uelewa wa pamoja kuhusu Serikali Mtandao.Kauli hiyo ilitolewa Novemba 25 jijini Dodoma na Mkurugenzi wa Huduma za TEHAMA e-GA Bw.Ricco Boma, wakati akifunga mafunzo ya siku sita kwa Wachambuzi wa Mifumo ya TEHAMA kutoka katika taasisi mbalimbali za umma, yaliyotolewa na e-GA."Utoaji wa Mafun...

Soma Zaidi
Mpangilio