Mfumo wa Huduma za Serikali kupitia Simu za Mkononi (mGov)

Mfumo wa Huduma za Serikali kupitia Simu za Mkononi (mGov)

Mfumo wa Huduma za Serikali kupitia Simu za Mkononi (mGov) http://mgov.ega.go.tz umetengenezwa kwa lengo la kujumuisha huduma zote za simu za mkononi Serikalini. Mfumo huu unatumia arafa (sms) katika kutoa na kupokea taarifa.Taarifa zinazopatikana katika mfumo huu zinaweza kutoka Serikalini kwenda kwa wananchi au kutoka kwa wananchi kwenda Serikalini kupitia namba 15200.Pia mfumo huu unatoa orodha ya namba...

Sifa za Mfumo

Faida za Mfumo wa Huduma za Serikali Kupitia Simu za Mkononi

  • star
  • star
  • star
  • star
  • star
    1. Inahudumia watu wengi kwa muda mfupi
    2. Kuokoa muda na gharama
    3. Huduma salama na za kuaminika
    4. Inawafikia watu wengi kwa urahisi hususani wanaoishi maeneo yasiyo fikika kwa urahisi.

    Tazama Video

    Moduli Za Bidhaa

    Mfumo wa Arafa Serikalini

    Mfumo wa Arafa Serikalini

    Mfumo huu unatoa fursa kwa taasisi za Umma kufikisha huduma zake kwa njia ya arafa kwa wananchi wote.Arafa Kutoka Taasis...

    Orodha ya Namba ya Arafa (USSD)

    Orodha ya Namba ya Arafa (USSD)

    Teknolojia ya namba za arafa inatumiwa na aina zote za simu ikiwemo simu za kawaida na simu smati, mtumiaji hahitaji kuu...

    e-Wallet

    e-Wallet

    e-Wallet ni mfumo wa USSD unaomuwezesha mwananchi kulipia huduma mbalimbali za kiserikali kupitia wallet akaunti ya mtan...

    Nifanyaje

    Have a requirement specification document.

    1. Andika barua ya maombi kwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Serikali Mtandao

    2. Wasilisha maelezo ya tatizo

    3. Hudhuria mkutano wa kukusanya mahitaji kwenye ofisi za e-GA

    4. Toa maoni na kukubali huduma hiyo iliyojaribiwa na kuoneshwa kwako

    5. Lipa ada inayostahili kama ilivyoainishwa kupitia Akaunti ya Mapato ya Mamlaka (e-Government Authority Revenue A/C) Na. 20110002340, NMB Bank.

    6. Utakabidhiwa rasmi Mfumo wa Huduma kwa Simu za Mkononi

    Zingatia:

    Utengenezaji wa mfumo wa huduma kwa simu za mkononi unategemea ukubwa wa tatizo lililowasilishwa.

    Wasiliana Nasi

    • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,
    • Mamlaka Ya Serikali Mtandao
    • Mamlaka ya Serikali Mtandao 8 Barabara ya Kivukoni, Jengo la Utumishi
    • S.L.P 4273, Dar es Salaam
    • +255222129868
    • info@ega.go.tz