Waziri Kikwete: Serikali Inaendelea na Mapinduzi ya Kidijitali kwa Kuimarisha Ufanisi na Usalama wa Serikali Mtandao

SERIKALI kupitia Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) imeendelea kupiga hatua kubwa katika kuimarisha usalama wa mifumo ya TEHAMA, kuongeza ufanisi wa huduma za kidijitali na kuunganisha taasisi za umma katika mfumo mmoja jumuishi ili kuchochea na kurahisisha utoaji wa huduma kwa wananchi. Hayo yameelezwa Aprili 17, 2026 Bungeni jijini Dodoma na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.Ridhiwani...







