emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO/IEC 27001:2022 | ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

SERIKALI kupitia Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) imeendelea kupiga hatua kubwa katika kuimarisha usalama wa mifumo ya TEHAMA, kuongeza ufanisi wa huduma za kidijitali na kuunganisha taasisi za umma katika mfumo mmoja jumuishi ili kuchochea na kurahisisha utoaji wa huduma kwa wananchi. Hayo yameelezwa Aprili 17, 2026 Bungeni jijini Dodoma na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.Ridhiwani...

Soma Zaidi

Mamlaka ya Serikali Mtandao imefanya kikao chake cha nne (4) cha Baraza la Wafanyakazi tarehe 2 Aprili 2026, jijini Dar es Salaam, kwa lengo la kujadili na kupitisha rasimu ya Bajeti ya mwaka wa fedha 2026/2027. Baraza hilo lilifanyika kwa mujibu wa Sheria ya Bajeti Na. 11 ya mwaka 2015, inayozielekeza taasisi za umma kuwasilisha na kupata idhini ya bajeti zao kupitia mabaraza ya wafanyakazi, ikiwa ni sehemu ya kuimarisha uwazi na ushirikishwa...

Soma Zaidi

Na. Catherine Peter Watumishi wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), wametakiwa kulinda afya zao ili kuongeza ufanisi katika utekelezaji wa majukumu yao kazini. Rai hiyo imetolewa hivi karibuni na Dkt. Hafidh Ameir, Afisa anayeratibu Afua za VVU mahali pa kazi ngazi ya taifa, katika Sekta ya Umma kutoka Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS), wakati wa kikao cha mwaka cha watumishi wa e-GA kilichofanyika katika ukumbi wa Wizara ya Maji...

Soma Zaidi

Katibu Mkuu Kiongozi, Mhe. Balozi Dkt. Moses Kusiluka, amewataka Maafisa TEHAMA nchini kutumia ujuzi wao ipasavyo na kusimamia matumizi sahihi ya teknolojia kwa maslahi mapana ya Taifa. Dkt. Kusiluka ameyasema hayo wakati akifungua Kikao Kazi cha sita (6) cha Serikali Mtandao kilichofanyika tarehe 17–19 Februari, 2026 katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC), jijini Arusha. Akizungumza katika kikao kazi hicho, Balozi...

Soma Zaidi

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete amezindua Bodi ya Pili ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) tarehe 27 Januari, 2026. Akizungumza wakati wa uzinduzi huo, Waziri Kikwete alisema kwamba, Serikali inatambua mchango mkubwa wa e-GA katika ujenzi wa Serikali Mtandao na kuitaka bodi hiyo kuisimamia vema e-GA sambamba na kuimarisha ushirikiano na Menejimenti,...

Soma Zaidi
Mpangilio