emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Mfumo wa eMrejesho toleo la pili (eMrejeshoV2) kutoka Tanzania,umechaguliwa kuwania Tuzo za Mkutano wa Dunia wa Jumuiya ya TEHAMA mwaka 2025 (World Summit on the Information Society -WSIS 2025). Tuzo hizi hutolewa na WSIS, kwa uratibu wa Shirika la Mawasiliano la Umoja wa Mataifa (International Telecommunications Union - ITU), kwa lengo la kutambua na kuchochea miradi bunifu, inayotumia TEHAMA katika kuchangia maendeleo endelevu duniani. Mf...

Soma Zaidi

Watumishi wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), wametakiwa kulinda na kuimarisha afya zao kwa kufanya mazoezi mara kwa mara, ili kuepukana na hatari ya kupata magonjwa sugu yasiyoambukizwa. Hayo yalisemwa na Dkt. Hafidh Ameir, Afisa anayeratibu Afua za VVU mahali pa kazi ngazi ya taifa, katika sekta ya umma kutoka Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS), Februari 27 mwaka huu, wakati wa kikao cha mwaka cha watumishi jijini Dar Es Salaam....

Soma Zaidi

Watumishi wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), wametakiwa kuimarisha na kuendeleza uadilifu kazini ili kuhakikisha Mamlaka inatekeleza majukumu yake kwa weledi na ufanisi zaidi. Wito huo umetolewa na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka hiyo Mhandisi Benedict Ndomba Februari 26 mwaka huu, wakati akifungua kikao cha wafanyakazi wa Mamlaka kilichofanyika katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam. Alisema kuwa, ili Mamlaka iendelee kut...

Soma Zaidi

Ari ya vijana katika kuifahamu na kutumia fursa zilizopo katika Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA), imekuwa ni kichocheo katika kuleta mapinduzi ya kiteknolojia nchini. Hii inatokana na ukweli kuwa, TEHAMA inazidi kukua kila uchwao na kuvutia vijana wengi kutokana na fursa mbalimbali zinazopatikana zikiwemo za kielimu na kiuchumi. Kutokana na uwepo wa fursa hizo, vijana wengi hupenda kutumia TEHAMA ili waweze kutimiza ndoto zao za...

Soma Zaidi

Wachambuzi wa Mifumo ya TEHAMA wa taasisi za umma, wameaswa kuongeza weledi na ufanisi katika utekelezaji wa majukumu yao ili kuepuka makosa yanayoweza kuisababishia hasara serikali. Rai hiyo imetolewa Aprili 18, mwaka huu na Afisa TEHAMA Mkuu wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Bi. Joan Valentine, wakati wa kuhitimisha mafunzo maalum ya siku tano kwa Wachambuzi wa Mifumo ya TEHAMA (Certified Business Analysis Professional) yaliyofanyika Kib...

Soma Zaidi
Mpangilio