emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), imeratibu na kuendesha mafunzo ya uchambuzi wa Data kubwa ‘Big data analysis’ na Akili Mnemba ‘Artificial intelligence-AI’, kwa wataalam wa TEHAMA kutoka katika Taasisi mbalimbali za Umma, ili kukuza na kuwajengea uelewa wa pamoja kuhusu teknolojia hizo utakaosaidia kukuza ufanisi na kuongeza ubora wa utoaji huduma kwa wananchi.Akizungumza wakati wa kuhitimisha mafunzo hayo Machi 23 mwaka huu, Meneja Usimamizi...

Soma Zaidi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt Samia Suluhu Hassan, amewataka viongozi wa umma kutumia Mfumo wa Kielektroniki wa Mawasiliano wa e-Mrejesho ili kupokea maoni ya wananchi kuhusu Serikali na pia kutoa mrejesho kwa wananchi kupitia mfumo huo.Dkt. Samia ametoa maelekezo hayo Machi 13 mwaka huu Ikulu jijini Dar es Salaam, mara baada ya kuwaapisha viongozi aliowateua katika nafasi mbalimbali wakiwemo Wakuu wa Mikoa, Katibu Mkuu, Wakuu w...

Soma Zaidi

Ushirikiano uliopo baina ya Wakala ya Serikali Mtandao Zanzibar (e-GAZ) na Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), katika ujenzi wa Serikali Mtandao umetajwa kuwa chachu ya mageuzi ya kidijitali visiwani Zanzibar.Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi Mtendaji wa e-GAZ Bw. Said Seif Said, alipotoa salamu za e-GAZ hivi karibuni wakati wa hafla fupi ya kufunga Kikao Kazi cha Nne cha Serikali Mtandao kilichofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Ar...

Soma Zaidi

Wanawake nchini, wametakiwa kutumia vema Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA), katika shughuli mbalimbali za kiuchumi ili kuongeza vipato vyao na kukuza pato la taifa kwa ujumla.Wito huo umetolewa na watumishi wanawake wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), Machi 8, mwaka huu wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, ambapo kitaifa yalifanyika katika Viwanja vya Shule ya Msingi Chinangali wilayani Chamwino jijini Dodoma.Meneja wa...

Soma Zaidi

Wakuu wa Taasisi za Umma wametakiwa kuweka mazingira mazuri na wezeshi ya utekelezaji wa jitihada za Serikali Mtandao, ikiwa ni pamoja na kuwajengea uwezo wataalamu wa TEHAMA katika taasisi zao ili waweze kukabiliana na mabadiliko ya teknolojia yanayoibuka mara kwa mara.Wito huo umetolewa na Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mh. Ridhiwani Kikwete (Mb), wakati akifunga Kikao Kazi cha Nne cha Serikali Mta...

Soma Zaidi
Mpangilio