RAIS DKT.SAMIA AWATAKA VIONGOZI WA UMMA KUTUMIA MFUMO WA e-MREJESHO KUPOKEA MAONI YA WANANCHI.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt Samia Suluhu Hassan, amewataka viongozi wa umma kutumia Mfumo wa Kielektroniki wa Mawasiliano wa e-Mrejesho ili kupokea maoni ya wananchi kuhusu Serikali na pia kutoa mrejesho kwa wananchi kupitia mfumo huo.Dkt. Samia ametoa maelekezo hayo Machi 13 mwaka huu Ikulu jijini Dar es Salaam, mara baada ya kuwaapisha viongozi aliowateua katika nafasi mbalimbali wakiwemo Wakuu wa Mikoa, Katibu Mkuu, Wakuu w...