FAHAMU KUHUSU eBarua

HAKUNA mtandao!!!?, hakuna tatizo kazi iendelee! Hii ndiyo kauli unayoweza kusema ukiwa unatumia toleo jipya la baruapepe za serikali (GMS Client) ambayo inachagizwa na jina jipya la e-Barua.Mfumo huu uliobuniwa na kusanifiwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao umeingia katika maboresho muhimu katika kujibu changamoto mbalimbali zinazojitokeza kwa watumiaji wake ambao ni watumishi ndani ya wizara,halmashauri na taasisi za Umma.Moja ya changamoto iliyo...