e-GA YAPATA ITHIBATI YA UBORA KIMATAIFA (ISO 9001:2015)

Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), imethibitishwa kuwa Taasisi inayofuata viwango vya Kimataifa (ISO) katika kuratibu, kusimamia na kukuza jitihada za Serikali Mtandao, pamoja na kuhimiza utekelezaji wa Sera, Sheria, Kanuni, Viwango na Miongozo ya Serikali Mtandao kwa Taasisi za Umma kulingana na Kiwango cha Ubora wa Kimataifa (ISO 9001:2015).Hayo yameshwabaini na Kaimu Meneja wa Kitengo cha Usimamizi wa Vihatarishi na Ubora wa TEHAMA wa Mamlaka...