emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), imeipongeza Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) kwa kuendeleza tafiti na bunifu zinazochagiza usanifu na utengenezaji wa mifumo ya TEHAMA inayoleta tija kwa taifa.Pongezi hizo zimetolewa na Makamu Mwenyekiti wa kamati ya PAC Mh. Japhet Hasunga, mara baada ya kamati hiyo kufanya ziara fupi ya kutembelea Kituo Cha Utafiti, Ubunifu na Uendelezaji wa Serikali Mtandao (eGOVRIDC) cha Mamlaka ya Seri...

Soma Zaidi

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mh.Ridhiwani Kikwete, amezitaka taasisi za umma kuimarisha ulinzi wa mifumo ya TEHAMA ili kuondoa utapeli dhidi ya wananchi unaowezakufanywa na watu wenye nia ovu kupitia mifumo hiyo.Mh.Kikwete ametoa rai hiyo leo tarehe 8 Februari 2024 jijini Arusha wakati akifunga Kikao Kazi cha 4 cha Serikali Mtandao kilichoandaliwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA).

Soma Zaidi

Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), inatarajia kufanya kikao kazi cha nne (4) cha Serikali Mtandao Februari 6 hadi 8, mwaka huu katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Arusha (AICC) jijini Arusha.Akizungumza ofisini kwake jijini Dodoma, Meneja Mawasiliano wa e-GA Bi. Subira Kaswaga amesema, lengo la kikao kazi hicho ni kuwakutanisha wadau wa Serikali Mtandao kutoka katika taasisi na mashirika mbalimbali ya umma, ili kujadili jitihada mbalimbali...

Soma Zaidi

Afisa Uchunguzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Bi. Dorothea Mrema, amewataka watumishi wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) kuzingadia uadilifu na weledi katika utekelezaji wa majukumu yao ili kujiepusha na vitendo vya rushwa.Bi Dorothea alitoa kauli hiyo Januari 6 mwaka huu, wakati akitoa elimu kuhusu rushwa mahala pa kazi kwa watumishi wa e-GA, kwenye mkutano wa watumishi hao uliofanyika katika ukumbi wa Makumbusho...

Soma Zaidi
Mpangilio