emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), imetoa elimu kuhusu Sheria, Kanuni, Viwango na Miongozo ya Serikali Mtandao kwa Kamati tendaji ya TEHAMA ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC).Lengo la mafunzo hayo ni kuijengea uwezo kamati hiyo juu ya namna inavyoweza kutekeleza ujenzi wa Serikali ya Kidijiti katika taasisi hiyo.Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume hiyo Bw.Ramadhani Kailima amesema kuwa, mafunzo hayo ni sehemu ya Maandalizi ya INEC kuelekea ubor...

Soma Zaidi

Kamati ya Kusimamia Ofisi za Viongozi Wakuu wa Kitaifa ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar pamoja na Watendaji wa Mamlaka ya Serikali Mtandao Zanzibar (eGAZ), wametembelea Makao Makuu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Mtumba jijini Dodoma.Ujumbe huo, ukiongozwa na Mwenyekiti wa Kamati Mh.Machano Othman Said, umetembelea e-GA ikiwa ni muendelezo wa ushirikiano kati ya pande hizo mbili katika kuendeleza eneo la Serikali Mtandao Tanzania Bara na V...

Soma Zaidi

Lilianza kama wazo, kisha wataalamu wakaketi na kutengeneza mfumo wa Baruapepe za Serikali (Government Mailing System - GMS), ambapo sasa umetimia muongo mmoja wa mafanikio ya matumizi ya mfumo huu.Kwanini tusijenge mfumo wa baruapepe za Serikali, ili kila mtumishi wa umma aweze kufanya mawasiliano ya kiofisi kupitia mfumo huu? Hili ndilo swali lililoifanya Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), kusanifu na kujenga mfumo wa GMS mwaka 2014.Dhamira ku...

Soma Zaidi

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Mhandisi Benedict Ndomba leo tarehe 18/10/2023 ameongoza mazoezi ya kikundi cha e-GA Jogging Club kinachoundwa na Watumishi wa Mamlaka hiyo Makao Makuu jijini Dodoma. Mazoezi hayo ni mojawapo wa mkakati wa Mamlaka katika kupambana na magonjwa yasiyoambukizwa pamoja na kuimarisha afya za Watumishi.Kikundi hicho hufanya mazoezi kila siku ya Jumatano na Ijumaa.

Soma Zaidi

Taasisi zote za Umma zatakiwa kujiunga na kutumia mfumo wa e-Mrejesho ili kuweza kutatua changamto mbalimbali zinazowakabili wananchi.Hayo yamesemwa na Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bw. Xavier Daudi wakati akifunga kikao kazi cha mafunzo ya mfumo wa e-Mrejesho yaliyofanyika katika Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa Oktoba4, 2024."Kabla ya mwezi huu Oktoba kuisha taasisi zote za Umma ambazo bado hazija...

Soma Zaidi
Mpangilio