emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO/IEC 27001:2022 | ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Mamlaka ya Serikali Mtandao imefanya kikao chake cha nne (4) cha Baraza la Wafanyakazi tarehe 2 Aprili 2026, jijini Dar es Salaam, kwa lengo la kujadili na kupitisha rasimu ya Bajeti ya mwaka wa fedha 2026/2027. Baraza hilo lilifanyika kwa mujibu wa Sheria ya Bajeti Na. 11 ya mwaka 2015, inayozielekeza taasisi za umma kuwasilisha na kupata idhini ya bajeti zao kupitia mabaraza ya wafanyakazi, ikiwa ni sehemu ya kuimarisha uwazi na ushirikishwa...

Soma Zaidi

Na. Catherine Peter Watumishi wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), wametakiwa kulinda afya zao ili kuongeza ufanisi katika utekelezaji wa majukumu yao kazini. Rai hiyo imetolewa hivi karibuni na Dkt. Hafidh Ameir, Afisa anayeratibu Afua za VVU mahali pa kazi ngazi ya taifa, katika Sekta ya Umma kutoka Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS), wakati wa kikao cha mwaka cha watumishi wa e-GA kilichofanyika katika ukumbi wa Wizara ya Maji...

Soma Zaidi

Katika hatua inayotajwa kama mapinduzi ya kihistoria kwenye utoaji wa haki, Mahakama ya Tanzania imeanza kutumia Akili Unde (AI) katika uandishi wa hukumu, hatua inayorahisisha, kuharakisha na kuongeza uwazi wa mashauri huku ikiimarisha imani ya wananchi kwa mhimili huo wa dola. Akizungumza katika Kikao Kazi cha sita cha Serikali Mtandao kilichofanyika jijini Arusha Februari 17 hadi 19, 2026, Mtendaji Mkuu wa Mahakama, Prof. Elisante Ole Gabri...

Soma Zaidi

Katibu Mkuu Kiongozi, Mhe. Balozi Dkt. Moses Kusiluka, amewataka Maafisa TEHAMA nchini kutumia ujuzi wao ipasavyo na kusimamia matumizi sahihi ya teknolojia kwa maslahi mapana ya Taifa. Dkt. Kusiluka ameyasema hayo wakati akifungua Kikao Kazi cha sita (6) cha Serikali Mtandao kilichofanyika tarehe 17–19 Februari, 2026 katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC), jijini Arusha. Akizungumza katika kikao kazi hicho, Balozi...

Soma Zaidi

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete amezindua Bodi ya Pili ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) tarehe 27 Januari, 2026. Akizungumza wakati wa uzinduzi huo, Waziri Kikwete alisema kwamba, Serikali inatambua mchango mkubwa wa e-GA katika ujenzi wa Serikali Mtandao na kuitaka bodi hiyo kuisimamia vema e-GA sambamba na kuimarisha ushirikiano na Menejimenti,...

Soma Zaidi
Mpangilio