emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Watumishi wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), wametakiwa kuimarisha na kuendeleza uadilifu kazini ili kuhakikisha Mamlaka inatekeleza majukumu yake kwa weledi na ufanisi zaidi. Wito huo umetolewa na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka hiyo Mhandisi Benedict Ndomba Februari 26 mwaka huu, wakati akifungua kikao cha wafanyakazi wa Mamlaka kilichofanyika katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam. Alisema kuwa, ili Mamlaka iendelee kut...

Soma Zaidi

Ari ya vijana katika kuifahamu na kutumia fursa zilizopo katika Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA), imekuwa ni kichocheo katika kuleta mapinduzi ya kiteknolojia nchini. Hii inatokana na ukweli kuwa, TEHAMA inazidi kukua kila uchwao na kuvutia vijana wengi kutokana na fursa mbalimbali zinazopatikana zikiwemo za kielimu na kiuchumi. Kutokana na uwepo wa fursa hizo, vijana wengi hupenda kutumia TEHAMA ili waweze kutimiza ndoto zao za...

Soma Zaidi

Wachambuzi wa Mifumo ya TEHAMA wa taasisi za umma, wameaswa kuongeza weledi na ufanisi katika utekelezaji wa majukumu yao ili kuepuka makosa yanayoweza kuisababishia hasara serikali. Rai hiyo imetolewa Aprili 18, mwaka huu na Afisa TEHAMA Mkuu wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Bi. Joan Valentine, wakati wa kuhitimisha mafunzo maalum ya siku tano kwa Wachambuzi wa Mifumo ya TEHAMA (Certified Business Analysis Professional) yaliyofanyika Kib...

Soma Zaidi

MAMLAKA ya Serikali Mtandao (e-GA), imetoa tuzo mbalimbali kwa Taasisi za Umma zilizofanya vizuri katika utekelezaji wa jitihada za Serikali Mtandao kwa mwaka wa fedha 2023/2024, ikiwa ni miongoni mwa mikakati ya kuchochea matumizi ya TEHAMA Serikalini. Tuzo hizo zilitolewa Februari 13 mwaka huu na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene (Mb), wakati akifunga Kikao kazi cha 5 cha...

Soma Zaidi

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene (Mb), amezitaka Taasisi za Umma zenye kiwango kidogo cha utekelezaji wa Jitihada za Serikali Mtandao, kuongeza kasi ya matumizi ya TEHAMA ili kuleta tija katika utendaji kazi wao. Mhe.Simbachawene ametoa kauli hiyo Februari 13 mwaka huu, wakati akifunga Kikao Kazi cha 5 cha Serikali Mtandao kilichofanyika kwa muda wa siku tatu katika ukumbi...

Soma Zaidi
Mpangilio