emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Maafisa waandamizi wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), wametakiwa kuimarisha waadilifu na kuzingatia vipaumbele vya taasisi na Serikali, ili waweze kuwa viongozi bora wa sasa na baadaye. Wito huo umetolewa na Mkurugenzi Mkuu wa e-GA, Mhandisi Benedict Ndomba, wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya uongozi yaliyofanyika hivi karibunimjini Morogoro. Ndomba alisema, mafunzo hayo yamelenga kuwajengea uwezo Maafisa wakuu na waandamizi wa Mamlaka h...

Soma Zaidi

Maafisa Habari Serikalini, wametakiwa kuzingatia weledi katika uandaaji na utoaji wa taarifa za Serikali kupitia tovuti za taasisi, ili kuhakikisha wananchi wanapata taarifa sahihi kuhusu shughuli na miradi mbalimbali inayotekelezwa na Serikali kupitia tovuti hizo. Wito huo umetolewa Novemba 18 mwaka huu, na Mkurugenzi wa Huduma za Uwezeshaji wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), Bw. Erick Kalembo, wakati akifungua mafunzo ya Usimamizi na Uen...

Soma Zaidi

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Mhandisi Benedict Ndomba, amewataka wajumbe wa Baraza kuendesha vikao vya Baraza kwa tija na ufanisi kwa kuzingatia Sheria, Kanuni na Miongozo ya usimamizi na uendeshaji wa vikao hivyo. Ndomba amesema hayo Novemba 21 mwaka huu jijini Dodoma, wakati akifungua kikao cha tatu cha Baraza la tano (5) la Wafanyakazi wa Mamlaka, kilichofanyika sambamba na mafunzo ya uendeshaji wa baraza hilo. A...

Soma Zaidi

Wakuu wa Vitengo vya Mawasiliano Serikalini, wametakiwa kuhuisha taarifa katika tovuti za taasisi kwa wakati, ili kuhakikisha wananchi na wadau mbalimbali wanapata taarifa sahihi za miradi ya maendeleo na huduma zitolewazo na taasisi kupitia tovuti hizo. Rai hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa Huduma za TEHAMA wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Bw. Ricco Boma, wakati akifungua mafunzo ya siku tatu ya Usimamizi na Uendeshaji wa Tovuti za Serikal...

Soma Zaidi

Mkurugenzi wa Udhibiti na Usalama wa TEHAMA Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Bw. Sylvan Shayo, amesema matumizi ya mifumo ya TEHAMA Serikalini, yameimarisha uwazi na ufanisi kwakuwa,  Serikali  inao uwezo mkubwa wa kuhifadhi nyaraka, na kupata kumbukumbu kwa usahihi na kwa wakati.  Bw.Shayo ameyasema hayo Agosti 26, mwaka huu jijini Dar es Salaam, wakati akiwasilisha  mada kuhusu  matumizi ya Ofisi Mtandao nda...

Soma Zaidi
Mpangilio