emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Vyombo vya Watumia Maji vya jamii (CBWSOs) vinavyosimamiwa na Wakala ya Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA), vimetakiwa kutumia Mfumo wa pamoja wa Ankara za Maji (MAJIIS), ili kuongeza ufanisi katika utendaji kazi pamoja na kuimarisha utoaji wa huduma ya maji kwa wananchi.Agizo hilo limetolewa hivi karibuni na Mkuu wa Wilaya ya Moshi Mhe. Kisare Makori, wakati akifunga mafunzo ya siku saba kwa Maafisa wa CBWSOs wa mkoa wa Kilimanjaro yal...

Soma Zaidi

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene, amewataka watumishi wa Ofisi ya Taifa ya Mashitaka (NPS) kutumia Mfumo wa Kielktroni wa Usimamizi na Uendeshaji wa Kesi za Jinai ujulikanao kama ‘Case Management Information System’ (CMIS), ili kuimarisha utendaji kazi na utoaji haki kwa wananchi.Simbachawene alitoa kauli hiyo jana wakati akikabidhi mfumo wa CMIS na tovuti ya Ofisi ya Taifa ya...

Soma Zaidi

Maafisa TEHAMA kutoka katika taasisi mbalimbali za umma wameshiriki katika kikao kazi cha kuandaa na kuhuisha Viwango na Miongozo ya Serikali Mtandao, ili kuhakikisha inaendana na Sheria ya Serikali Mtandao Na. 10 ya mwaka 2019.Lengo ni kuhakikisha Serikali inakua na Serikali mtandao yenye tija na inayoongeza ufanisa katika utendaji kazi na utoaji huduma kwa umma.Kikao hicho kilichoandaliwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), kilifanyika kwa s...

Soma Zaidi

Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt.Seif Shekalaghe, amesema kuwa Wizara hiyo itaendelea kuimarisha ushirikiano na Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), ili kuhakikisha mifumo yote ya TEHAMA ya kutolea huduma za afya inakidhi matakwa ya Sheria na viwango vya Serikali Mtandao.Dkt. Seif alitoa kauli hiyo juzi jijini Dodoma, wakati wa uzinduzi wa Kituo cha Umahiri katika masuala ya afya ya Kidigitali (CDH), ambacho kinalenga kuhakikisha utoaji wa huduma za...

Soma Zaidi

Viongozi wa taasisi mbalimbali za umma wameeleza faida za kubadilishana taarifa kidijitali kupitia Mfumo wa pamoja wa ubadilishanaji taarifa serikalini ujulikanao kama ‘Government Enterprises Service Bus’ (GovESB).Wakizungumza na mwandishi wetu katika nyakati tofauti, viongozi hao wameeleza kuwa, mfumo wa GoVESB umekuwa na faida nyingi ikiwemo kuongeza ufanisi wa utendaji kazi, kuokoa muda pamoja na gharama za uendeshaji wa taasisi.Mtendaji Mkuu...

Soma Zaidi
Mpangilio