emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), imesema kuwa itaendeleza utaratibu wa kutoa mafunzo kwa Maafisa TEHAMA wa taasisi za umma ili kuwajengea uwezo na kuwa na uelewa wa pamoja kuhusu Serikali Mtandao.Kauli hiyo ilitolewa Novemba 25 jijini Dodoma na Mkurugenzi wa Huduma za TEHAMA e-GA Bw.Ricco Boma, wakati akifunga mafunzo ya siku sita kwa Wachambuzi wa Mifumo ya TEHAMA kutoka katika taasisi mbalimbali za umma, yaliyotolewa na e-GA."Utoaji wa Mafun...

Soma Zaidi

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Mha. Benedict Ndomba, amesema kuwa, jumla ya taasisi za umma 109 zimeunganishwa katika Mfumo Mkuu wa Ubadilishanaji taarifa Serikalini ujulikanao kama Government Enterprises Service Bus (GovESB), na tayari mifumo ya TEHAMA 117 imesajiliwa katika mfumo huo.Mfumo wa GovESB, ni mfumo wa kielektroniki unaounganisha mifumo ya TEHAMA ya taasisi za umma iweze kusomana na kubadilishana taarifa kwa usa...

Soma Zaidi

Wakuu wa Vitengo vya TEHAMA wa Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Kilimo, wametakiwa kuzingatia Sheria, Kanuni, Miongozo na Viwango vya Serikali Mtandao katika kusanifu miradi ya TEHAMA ili kuhakikisha inaleta tija katika sekta ya kilimo.Wito huo umetolewa leo na Afisa TEHAMA kutoka Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Bw.George Bagomwa, wakati akiwasilisha mada kuhusu utekelezaji wa miradi ya TEHAMA Serikalini, kwenye kikao kazi cha Wakuu wa Viteng...

Soma Zaidi

Wadau wa usafirishaji nchini, wameshauriwa kubuni mifumo ya TEHAMA inayoendana na mazingira ya kibiashara ili kuleta tija kwenye taasisi zao .Rai hiyo imetolewa jana na Meneja wa Usimamizi wa Miradi ya TEHAMA kutoka Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Bw.Godfrey Masanja, wakati akiwasilisha mada kuhusu Sheria na Huduma za Serikali Mtandao kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa e-GA Mha. Benedict Ndomba, katika Mkutano wa 16 wa Wadau wa Usafirishaji unaof...

Soma Zaidi

Wachambuzi wa mifumo ya TEHAMA ‘Business Analysts’ katika taasisi za umma, wametakiwa kuongeza elimu na kupata maarifa mapya mara kwa mara, ili kuweza kuendana na kasi ya ukuaji wa mabadiliko ya teknolojia mpya zinazoibuka, ikiwemo ujuzi katika uchambuzi wa takwimu pamoja na akili bandia.Wito huo umetolewa na Kaimu Meneja wa Ushauri na Uelekezi wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Bi.Joan Valentine, wakati akifungua mafunzo ya siku sita kwa Wach...

Soma Zaidi
Mpangilio