TUTAENDELEA KUWAJENGEA UWEZO MAAFISA TEHAMA SERIKALINI: e-GA

Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), imesema kuwa itaendeleza utaratibu wa kutoa mafunzo kwa Maafisa TEHAMA wa taasisi za umma ili kuwajengea uwezo na kuwa na uelewa wa pamoja kuhusu Serikali Mtandao.Kauli hiyo ilitolewa Novemba 25 jijini Dodoma na Mkurugenzi wa Huduma za TEHAMA e-GA Bw.Ricco Boma, wakati akifunga mafunzo ya siku sita kwa Wachambuzi wa Mifumo ya TEHAMA kutoka katika taasisi mbalimbali za umma, yaliyotolewa na e-GA."Utoaji wa Mafun...