emblem

Blogu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao

Uadilifu na Ubunifu kwa Utoaji Huduma Bora kwa Umma

Taarifa Mpya

Huduma za serikali kidigitali

10th Aug 2020

Serikali kupitia Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) inafanya kazi kubwa kuhakikisha kuwa huduma za Serikali zinapatikana kidijitali kwa kutumia mifumo mbalimbali ya TEHAMA.

Ijue Sheria ya Serikali Mtandao

23rd Jul 2020

​​Lengo la Sheria ya Serikali Mtandao ni kuhakikisha kwamba Serikali inapata thamani halisi kwenye uwekezaji wa TEHAMA kwa kuwa na utendaji kazi Serikalini ulioboreshwa, utoaji huduma bora kwa umma zinazopatikana kwa urahisi, haraka na kwa gharama nafuu mahali popote na kwa wakati wowote bila kufika ofisi husika.

Bunge Mtandao wasaidia Bunge kipindi cha Covid-19

10th Jul 2020

​Mfumo wa Bunge mtandao umesaidia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzaniawakati wa ugonjwa wa homa kali ya mapafu (Covid-19) kwa kuepuka kusambaa kwa virusi vya CORONA kwa wabunge na watumishi wa Bunge.

e-Office yaongeza ufanisi TPA, NHIF, COSTECH, Mifugo, Uchukuzi na Nyaraka.

30th Jun 2020

Mfumo wa Ofisi Mtandao (e-Office) unaongeza ufanisi wa kazi na kupunguza matumizi ya karatasi TPA, NHIF, Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Wizara ya Uchukuzi na Mawasiliano na Ofisi ya Rais - Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa.

NHIF, DUWASA, TALIRI na MCT zanufaika na *152*00#

26th Jun 2020

NHIF, DUWASA, TALIRI na MCT zanufaika na matumizi ya mfumo wa mGov unaorahisisha mawasiliano na wadau wa karibu wa Taasisi hizo kwa kutumia ujumbe mfupi wa simu ya mkononi (SMS).