e-GA yataja mafanikio ya Ilani ya CCM 2020 – 2025

Taasisi za Umma zaunganishwa katika Mtandao wa Mawasiliano wa Serikali. Vituo vya kuhifadhia data vya Serikali (Government Data Centers) vyaboreshwa. Ujenzi wa Mifumo shirikishi na ya Kisekta Huduma za Serikali zapatikana Kidijitali Taasisi za Umma zabadilishana taarifa kidijitali Miaka mitano sasa inatimia tangu Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), ianze rasmi utekelezaji wa Ilani...







