emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Watu wengi hupoteza mafaili yao muhimu mara tu simu au kompyuta zao zinapoharibika au kupotea, huenda hata wewe ukawa ni miongoni mwa waathirika hao. Habari njema ni kuwa mwarobaini wa tatizo hili umepatikana, na sasa mafaili yako yatakuwa salama hata kama utapoteza simu au kompyuta yako kuharibika.Naam! Ni kupitia mfumo wa kuhifadhi mafaili yako mkondoni wa ‘Twiga Cloud’ unaweza kutunza mafaili yako wakati wowote na kuwa na uhakika wa usalama wa...

Soma Zaidi

“Uadilifu na ubunifu kwa utoaji wa huduma bora kwa umma” huu ndio moto wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), unaoangaza njia inayochochea bunifu mbalimbali za TEHAMA zitakazosaidia kuboresha utoaji wa huduma za Serikali kidijitali.Ili kufikia mafanikio haya, Oktoba 2019 e-GA ilianzisha Kituo cha Utafiti, Ubunifu na Uendelezaji wa Serikali Mtandao (eGOVRIDC), kwa lengo la kuimarisha na kukuza tafiti pamoja na bunifu za TEHAMA, kwa kushirikiana na...

Soma Zaidi

Tuzo za Umoja wa Mataifa za Ubunifu katika Huduma za Umma 'UN Public Service Innovation Awards' zimetolewa leo Juni 26 mwaka huu, nchini Korea Kusini kwenye Kilele cha Wiki ya Utumishi wa Umma ya Umoja wa Mataifa 'UN Public Service Week 2024'. Nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa 72 zimeshiriki ambapo mifumo 400 iliwasilishwa na mifumo 15 ukiwemo wa e-Mrejesho ilishinda tuzo mbalimbali ambapo, kutoka Afrika nchi zilizoshiriki na kushinda tuzo hizo...

Soma Zaidi

Mawasiliano kwa njia ya baruapepe ‘email’, yameendelea kushika hatamu duniani ikiwa ni miongoni mwa njia ya haraka ya mawasiliano inayotumika katika uendeshaji wa shughuli mbalimbali za taasisi.Kukua kwa matumizi ya baruapepe, kunatokana na ukuaji wa teknolojia na hivyo, kuwa ni moja ya njia ya haraka na inayoaminika katika mawasiliano rasmi ya kiofisi.Ili kuhakikisha Serikali inapiga hatua katika matumizi ya baruapepe, Mamlaka ya Serikali Mtanda...

Soma Zaidi

Kamati ya Ufundi ya Serikali ya Serikali Mtandao, imekutana leo Juni 14, 2024 jijini Dodoma kujadili utekelezaji wa jitihada za Serikali Mtandao kwa mwaka wa fedha 2023/2024.Kikao hicho kimefanyika katika Ofisi za Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) jijini Dodoma, na kuongozwa na Mwenyekiti wa kamati hiyo Bw.Priscus Kiwango ambaye pia ni Mkurugenzi wa TEHAMA, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora.

Soma Zaidi
Mpangilio