emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Kutokana na maendeleo ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) katika karne hii ya 21, matumizi ya simu za mkononi yameendelea kuongozeka ambapo, kwa sasa simu zinatumika kwa matumizi mengine mengi zaidi na si kwa ajili ya mawasiliano pekee kama ilivyokuwa hapo awali.Pamoja na kuongezeka kwa aina mbalimbali ya matumizi hayo, lakini pia simu imekuwa ni kifaa na kiungo muhimu kati ya Serikali na wananchi kwani, simu hutumiwa na Serikali kuto...

Soma Zaidi

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa, akimkabidhi cheti cha shukrani ya udhamini Afisa Habari wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Bi.Queenter Mawinda, wakati wa kilele cha Maadhimisho ya Kitaifa ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu yaliyofikia tamati hii leo jijini Tanga.e-GA ni miongoni mwa wadhamini wa maadhimisho hayo kwa mwaka 2024 yaliyoandaliwa na Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia.

Soma Zaidi

Meneja wa Kituo cha Utafiti, Ubunifu na Uendelezaji wa Serikali Mtandao (eGOVRIDC) cha Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Dkt. Jaha Mvulla, amewata vijana watafiti na wabunifu kwenye eneo la TEHAMA kuwasilisha bunifu zao katika kituo hicho, ili kuangalia namna zinavyoweza kuisaidia Serikali katika kuwahudumia wananchi.Dkt. Jaha amesema hayo hivi karibuni, wakati akieleza umuhimu wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), kushiriki katika Maadhimisho...

Soma Zaidi

Uwasilishaji wa miradi ya TEHAMA Serikalini katika Tovuti ya Huduma za TEHAMA Serikalini (GISP), umetajwa kuongeza ufanisi wa miradi hiyo kutokana na kutolewa ushauri wa kitaalamu katika hatua za awali unaofanywa na Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), kabla ya utekelezaji wa miradi hiyo.Kauli hiyo imetolewa hivi karibuni na Meneja wa Usimamizi wa Miradi ya TEHAMA kutoka Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Bw.Godfrey Masanja, wakati alipofanya maho...

Soma Zaidi

Matumizi ya mfumo wa kuwezesha uratibu wa shughuli za uandaaji wa vikao mbalimbali vya bodi na menejimenti katika halmashauri na Taasisi za Umma (e-Board), yameiwezesha Halmashauri ya Manispaa ya Tabora kuokoa zaidi ya shilingi milioni 160, zilizokuwa zikitumika katika ununuzi wa vifaa mbalimbali vya uchapishaji na uaandaaji wa muhtasari wa vikao kila mwaka.Hayo yamebainishwa hivi karibuni na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Manispaa hiyo B...

Soma Zaidi
Mpangilio