emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), imeahidi kushirikiana na Benki ya NMB ili kuimarisha, kukuza na kuendeleza ujuzi na vipaji kwa vijana wa Kitanzania wabunifu na wale wanaosoma fani ya TEHAMA, katika Vyuo Vikuu mbalimbali nchini, kupitia programu maalum ya mafunzo kwa vitendo inayotolewa na e-GA kupitia Kituo chake cha Utafiti, Ubunifu na Uendelezaji wa Serikali Mtandao (eGOVRIDC).Kauli hiyo ilitolewa hivi karibuni na Mkurugenzi Mkuu wa e-GA M...

Soma Zaidi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi, akimkabidhi cheti cha shukran ya udhamini Mkurugenzi wa Huduma za TEHAMA wa Mamlaka ya Serikali Mtandao ( e-GA) Bw. Ricco Boma, kwenye Mkutano Mkuu wa 7 wa Mashirika ya Utangazaji ya Umma Kusini mwa Afrika (SABA). Mkutano huo unafanyika kwa siku tatu kuanzia leo Oktoba 10 hadi 12 katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Kisiwani Unguja ambapo e-GA ni miongoni mwa wa...

Soma Zaidi

Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), imeahidi kuendelea kubuni na kuboresha mifumo mbalimbali ya TEHAMA, ili kurahisisha upatikanaji wa huduma za Serikali Mtandao kwa watu wenye mahitaji maalum.Akizungumza katika Maadhimisho ya wiki ya Viziwi duniani 2023, yanayofanyika kitaifa jijini Mbeya, Mkurugenzi wa Huduma na Uwezeshaji e-GA CPA Salum Mussa, amesema sheria ya Serikali Mtandao Namba 10 ya Mwaka 2019, inatambua na kuthamini kundi la watu wenye...

Soma Zaidi

Wakaguzi wa Ndani katika Taasisi za Umma wametakiwa kuzingatia Sheria, Kanuni, Viwango na Miongozo ya Serikali Mtandao, wakati wa ukaguzi wa miradi na mifumo mbalimbali ya TEHAMA kwenye taasisi zao, ili kuhakikisha wanatenda haki.Wito huo umetolewa na Mkaguzi wa Ndani Mkuu wa Serikali, Ofisi ya Mkaguzi wa Ndani Mkuu wa Serikali CPA. Paison Mwamnyasi, wakati wa ufunguzi wa awamu ya nne ya mafunzo maalum kuhusu ukaguzi wa mifumo na miradi ya TEHAMA...

Soma Zaidi

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Mha. Benedict Ndomba, amesema kuwa zaidi ya taasisi za umma 80 zimejiunga katika Mfumo wa Ubadilishanaji Taarifa Serikalini (Government Enterprise Service Bus-GovESB).Ndomba alisema hayo wakati aliposhiriki mahojiano katika kipindi cha Adhuhuri lounge cha UTV Septemba 18, kuhusu jitihada za Mamlaka katika kuhakikisha mifumo ya TEHAMA Serikalini inawasiliana na kubadilishana taarifa.“Kuanzia mw...

Soma Zaidi
Mpangilio