emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mh.Ridhiwani Kikwete, amezitaka taasisi za umma kuimarisha ulinzi wa mifumo ya TEHAMA ili kuondoa utapeli dhidi ya wananchi unaowezakufanywa na watu wenye nia ovu kupitia mifumo hiyo.Mh.Kikwete ametoa rai hiyo leo tarehe 8 Februari 2024 jijini Arusha wakati akifunga Kikao Kazi cha 4 cha Serikali Mtandao kilichoandaliwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA).

Soma Zaidi

Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), inatarajia kufanya kikao kazi cha nne (4) cha Serikali Mtandao Februari 6 hadi 8, mwaka huu katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Arusha (AICC) jijini Arusha.Akizungumza ofisini kwake jijini Dodoma, Meneja Mawasiliano wa e-GA Bi. Subira Kaswaga amesema, lengo la kikao kazi hicho ni kuwakutanisha wadau wa Serikali Mtandao kutoka katika taasisi na mashirika mbalimbali ya umma, ili kujadili jitihada mbalimbali...

Soma Zaidi

Afisa Uchunguzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Bi. Dorothea Mrema, amewataka watumishi wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) kuzingadia uadilifu na weledi katika utekelezaji wa majukumu yao ili kujiepusha na vitendo vya rushwa.Bi Dorothea alitoa kauli hiyo Januari 6 mwaka huu, wakati akitoa elimu kuhusu rushwa mahala pa kazi kwa watumishi wa e-GA, kwenye mkutano wa watumishi hao uliofanyika katika ukumbi wa Makumbusho...

Soma Zaidi

Kundi kubwa la watumishi wa umma, lipo katika hatari ya kupata magonjwa sugu yasiyoambukiza kutokana na mwenendo wa maisha usioridhisha ikiwa ni pamoja na kutokuwa na tabia ya kufanya mazoezi na ulaji usiozingatia mpangilio sahihi wa lishe.Hayo yamebainishwa na Afisa anayeratibu Afua za VVU mahali pa kazi ngazi ya taifa, katika sekta ya umma kutoka Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) Dkt. Hafidh Ameir, wakati akitoa elimu kuhusu VVU, UKIM...

Soma Zaidi
Mpangilio