emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Wadau wa usafirishaji nchini, wameshauriwa kubuni mifumo ya TEHAMA inayoendana na mazingira ya kibiashara ili kuleta tija kwenye taasisi zao .Rai hiyo imetolewa jana na Meneja wa Usimamizi wa Miradi ya TEHAMA kutoka Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Bw.Godfrey Masanja, wakati akiwasilisha mada kuhusu Sheria na Huduma za Serikali Mtandao kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa e-GA Mha. Benedict Ndomba, katika Mkutano wa 16 wa Wadau wa Usafirishaji unaof...

Soma Zaidi

Wachambuzi wa mifumo ya TEHAMA ‘Business Analysts’ katika taasisi za umma, wametakiwa kuongeza elimu na kupata maarifa mapya mara kwa mara, ili kuweza kuendana na kasi ya ukuaji wa mabadiliko ya teknolojia mpya zinazoibuka, ikiwemo ujuzi katika uchambuzi wa takwimu pamoja na akili bandia.Wito huo umetolewa na Kaimu Meneja wa Ushauri na Uelekezi wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Bi.Joan Valentine, wakati akifungua mafunzo ya siku sita kwa Wach...

Soma Zaidi

Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) na Chuo Kikuu Mzumbe, wamesaini hati ya makubaliano (MOU) ya ushirikiano katika masuala ya elimu, utafiti, na maendeleo ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA), ikiwa ni hatua inayolenga kuimarisha na kukuza tasnia ya TEHAMA ili kuboresha jitihada za Serikali Mtandao sambamba na kuimarisha uhusiano uliopo katika taasisi hizo.Hafla ya utiaji saini wa makubaliano hayo, imefanyika hivi karibuni katika ofis...

Soma Zaidi

Kamati ya Bodi ya Ukaguzi, Vihatarishi na Ubora ya Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), leo imefanya kikao cha kujadili utendaji kazi wa Vitengo vya Ukaguzi wa Ndani na Kitengo cha Usimamizi wa ubora na Vihatarishi vya TEHAMA kwa kipindi cha Julai - Septemba, 2023. Kamati imeeleza kuridhishwa na utendaji kazi wa vitengo hivyo, kwa kufikia malengo kwa asilimia 100, pamoja na kutekeleza kwa wakati maagizo yanayotolewa na Bodi ya Wakurugenzi ya Mamla...

Soma Zaidi

Matumizi sahihi na salama ya mifumo ya kieletroniki Serikalini, yametajwa kuwa suluhisho la kudumu katika kuziba mianya ya upotevu wa rasilimali za serikali ikiwemo mapato yatokanayo na vyanzo mbalimbali nchini.Hayo yameelezwa jana jijini Dodoma na Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Nchemba, wakati akipokea na kuzindua Mfumo wa Kieletroni wa Kuratibu Ununuzi wa Mafuta Serikalini, ujulikanao kama ‘GPSA Intergrated Management Information System’ (GIMIS),...

Soma Zaidi
Mpangilio