Wadau wa usafirishaji nchini, wameshauriwa kubuni mifumo ya TEHAMA inayoendana na mazingira ya kibiashara

Wadau wa usafirishaji nchini, wameshauriwa kubuni mifumo ya TEHAMA inayoendana na mazingira ya kibiashara ili kuleta tija kwenye taasisi zao .Rai hiyo imetolewa jana na Meneja wa Usimamizi wa Miradi ya TEHAMA kutoka Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Bw.Godfrey Masanja, wakati akiwasilisha mada kuhusu Sheria na Huduma za Serikali Mtandao kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa e-GA Mha. Benedict Ndomba, katika Mkutano wa 16 wa Wadau wa Usafirishaji unaof...