emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Maafisa TEHAMA kutoka katika taasisi mbalimbali za umma wameshiriki katika kikao kazi cha kuandaa na kuhuisha Viwango na Miongozo ya Serikali Mtandao, ili kuhakikisha inaendana na Sheria ya Serikali Mtandao Na. 10 ya mwaka 2019.Lengo ni kuhakikisha Serikali inakua na Serikali mtandao yenye tija na inayoongeza ufanisa katika utendaji kazi na utoaji huduma kwa umma.Kikao hicho kilichoandaliwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), kilifanyika kwa s...

Soma Zaidi

Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt.Seif Shekalaghe, amesema kuwa Wizara hiyo itaendelea kuimarisha ushirikiano na Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), ili kuhakikisha mifumo yote ya TEHAMA ya kutolea huduma za afya inakidhi matakwa ya Sheria na viwango vya Serikali Mtandao. Dkt. Seif alitoa kauli hiyo juzi jijini Dodoma, wakati wa uzinduzi wa Kituo cha Umahiri katika masuala ya afya ya Kidigitali (CDH), ambacho kinalenga kuhakikisha utoaji wa hudum...

Soma Zaidi

Viongozi wa taasisi mbalimbali za umma wameeleza faida za kubadilishana taarifa kidijitali kupitia Mfumo wa pamoja wa ubadilishanaji taarifa serikalini ujulikanao kama ‘Government Enterprises Service Bus’ (GovESB).Wakizungumza na mwandishi wetu katika nyakati tofauti, viongozi hao wameeleza kuwa, mfumo wa GoVESB umekuwa na faida nyingi ikiwemo kuongeza ufanisi wa utendaji kazi, kuokoa muda pamoja na gharama za uendeshaji wa taasisi.Mtendaji Mkuu...

Soma Zaidi

Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), imezitaka taasisi za umma kuhakikisha kuwa miradi na mifumo yote ya TEHAMA inayotekelezwa ndani ya taasisi zao inawasilishwa e-GA wakati wa hatua ya mipango ili kuiwezesha Mamlaka kupitia na kutoa ushauri wa kitaalamu kabla ya utekelezaji wa miradi hiyo. Kauli hiyo imetolewa leo na Meneja wa Usimamizi wa Udhibiti na Viwango vya Serikali Mtandao Bi. Sultana Seiff, wakati wa kufunga mafunzo ya siku mbili kwa M...

Soma Zaidi

Meneja Mawasiliano Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Bi. Subira Kaswaga, ametoa wito kwa taasisi za umma kujiunga na mfumo wa ubadilishanaji taarifa serikalini (GovESB) ili taasisi hizo ziweze kuwasiliana na kubadilishana taarifa kidijitali kupitia mfumo huo. Kaswaga ametoa wito huo leo wakati alipofanya mkutano na waandishi wa Habari mkoani Mbeya, kuhusu huduma mbalimbali zinazotolewa na e-GA kwenye maonyesho ya wiki ya wakulima ambayo kwa m...

Soma Zaidi
Mpangilio