emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Watumishi wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) wametakiwa kubadili mtindo wa maisha ili kuwa na afya bora. Hayo yamesemwa na Meneja wa Rasilimali Watu na Utawala Bw. Eric Kalembo katika zoezi la upimaji afya za watumishi lililofanyika katika Ofisi za Mamlaka ya Serikali Mtandao, jijini Dar Es Salaam. Bw. Kalembo amesema kuwa Idadi kubwa ya watumishi wa Mamlaka ni vijana ambao ni chachu ya maendeleo ya Taifa hivyo wanapaswa kuwa na afya bor...

Soma Zaidi

Wanafunzi 55 kutoka Vyuo Vikuu 11 nchini waliopo katika programu maalumu ya mafunzo kwa vitendo inayoendeshwa na Kituo cha Utafiti, Ubunifu na Uendelezaji wa Serikali Mtandao (e-GovRIDC) wametembelea Makao Makuu ya e-GA yaliyopo Mtumba jijini Dodoma Septemba 08, 2023. Akipokea ugeni huo kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu, Mkurugenzi wa Huduma na Uwezeshaji wa e-GA Bw.Salum Mussa amewataka vijana hao kutumia uzoefu walioupata katika kituo hicho kubun...

Soma Zaidi

Taasisi na Halmashauri mbalimbali nchini zimeendelea kuunganishwa na kunufaika na matunda ya ubunifu ya wataalamu wa ndani yatokanayo na mfumo wa e-Board.Uanzishwaji wa mfumo huu ni Juhudi za Serikali kupitia Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) za kuhakikisha matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) yanaimarishwa ili kuboresha utendaji kazi wa Taasisi za Umma nchini.Mfumo wa eBoard ni mfumo unaoratibu vikao vya Bodi, Kamati za Bodi...

Soma Zaidi

Vyombo vya Watumia Maji vya jamii (CBWSOs) vinavyosimamiwa na Wakala ya Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA), vimetakiwa kutumia Mfumo wa pamoja wa Ankara za Maji (MAJIIS), ili kuongeza ufanisi katika utendaji kazi pamoja na kuimarisha utoaji wa huduma ya maji kwa wananchi. Agizo hilo limetolewa hivi karibuni na Mkuu wa Wilaya ya Moshi Mhe. Kisare Makori, wakati akifunga mafunzo ya siku saba kwa Maafisa wa CBWSOs wa mkoa wa Kilimanjaro...

Soma Zaidi

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene, amewataka watumishi wa Ofisi ya Taifa ya Mashitaka (NPS) kutumia Mfumo wa Kielktroni wa Usimamizi na Uendeshaji wa Kesi za Jinai ujulikanao kama ‘Case Management Information System’ (CMIS), ili kuimarisha utendaji kazi na utoaji haki kwa wananchi. Simbachawene alitoa kauli hiyo jana wakati akikabidhi mfumo wa CMIS na tovuti ya O...

Soma Zaidi
Mpangilio