TAASISI ZA UMMA ZAHIMIZWA KUBADILISHANA TAARIFA KUPITIA MFUMO WA GOVESB

Meneja Mawasiliano Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Bi. Subira Kaswaga, ametoa wito kwa taasisi za umma kujiunga na mfumo wa ubadilishanaji taarifa serikalini (GovESB) ili taasisi hizo ziweze kuwasiliana na kubadilishana taarifa kidijitali kupitia mfumo huo. Kaswaga ametoa wito huo leo wakati alipofanya mkutano na waandishi wa Habari mkoani Mbeya, kuhusu huduma mbalimbali zinazotolewa na e-GA kwenye maonyesho ya wiki ya wakulima ambayo kwa m...







