emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Mradi wa ‘Digital Tanzania’ unatarajiwa kuimarisha utoaji wa huduma kwa njia ya kidijitali kati ya Serikali, Wananchi pamoja na Wafanyabiashara sambamba na kuchochea uwekezaji katika miradi ya kidijitali nchini.Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Eng. Benedict Ndomba alipozungumza na mwandishi wetu kuhusu mradi huo ofisini kwake jijini Dodoma.Alibainisha kuwa, mradi huo una malengo makuu mawili ambayo ni ku...

Soma Zaidi

Afisa TEHMA Mwandamizi kutoka Idara ya Usimamizi wa Huduma za TEHAMA Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Bi. Mwanaasha Semboko ameibuka mshindi katika kinyang’anyiro cha kumchagua Mtumishi Mahiri wa Mamlaka kwa mwaka 2023.Hayo yalibainishwa na Meneja wa Rasilimali Watu wa Mamlaka ya Serikali Mtandao Bw. Erick Kalembo wakati wa mahojiano na mwandishi wetu jijini Dar Es Salaam kwenye kilele cha maadhimisho ya siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) 2...

Soma Zaidi

Mfumo wa e-board umerahisisha na kuwezesha uratibu wa shughuli zote za uandaaji wa vikao mbalimbali vya bodi na menejimenti katika Halmashauri na Taasisi za Umma.Mfumo huu wa kidigitali unawezesha sekretarieti kuandaa yatokanayo kwenye kikao, wajumbe kupiga kura na kuwawezesha wajumbe wa menejimenti kutengeneza ripoti za utendaji kazi katika vipindi mbalimbali vya mwaka.Meneja wa Kituo cha Utafiti na Ubunifu na Uendelezaji wa Serikali Mtandao (eG...

Soma Zaidi

Tanzania imetajwa kuwa miongoni mwa nchi zinazopiga hatua kubwa katika matumizi ya TEHAMA kwa kushika nafasi ya 26 kidunia na ya pili barani Afrika baada ya Mauritius.Hayo yamebainishwa kwenye utafiti uliofanywa na Benki ya Dunia (WB) kuhusu ukomavu wa matumizi ya Teknolojia duniani katika utoaji wa huduma za serikali na ushirikishwaji wa wananchi (GovTech Maturity Index) Ripoti hiyo ambayo inatokana na utafiti uliofanyika mwaka 2022 katika nchi...

Soma Zaidi

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Dkt. Mussa Kissaka akipokea taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG) ya ukaguzi wa taarifa za fedha kwa mwaka wa fedha 2021/2022 ya Mamlaka ya Serikali Mtandao kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu Eng. Benedict Ndomba ambapo Mamlaka imepata hati safi. Makabidhiano hayo yamefanyika leo katika Ofisi za e-GA jijini Dar es Salaam, wakati wa kikao cha Bodi.

Soma Zaidi
Mpangilio