TANGAZO LA MNADA WA HADHARA

Bofya hapa kupata taarifa

Bofya hapa kupata taarifa

Meneja Mawasiliano Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), Bi. Subira Kaswaga, amezitaka Taasisi za Umma nchini kuendesha vikao kidijitali kwa kutumia mfumo wa e-Mikutano ili kupunguza gharama za uendeshaji wa vikao. Kaswaga alitoa rai hiyo jana, alipofanya mazungumzo na mwandishi wetu ofisini kwake jijini Dodoma kuhusu faida zitokanazo na mfumo wa e-Mikutano. Alibainisha kuwa, mfumo wa e-Mikutano unawawezesha watumishi wa Taasisi za umma kufan...

Mkaguzi wa Ndani Mkuu Msaidizi, Ofisi ya Mkaguzi wa Ndani Mkuu wa Serikali Bw. Paison Mwamnyasi, amewataka Wakaguzi wa Ndani kuzingatia sheria, kanuni, viwango na miongozo ya Serikali Mtandao wanapofanya ukaguzi kwenye miradi na Mifumo ya TEHAMA, ili waweze kutoa ushauri wenye tija kwa serikali kupitia taarifa zao za ukaguzi. Bw. Mwamnyasi aliyasema hayo hivi karibuni wakati wa ufunguzi wa awamu ya pili ya mafunzo maalum kwa Wakaguzi wa Nd...

Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) imetengeneza programu ya kijamii ya mawasiliano iitwayo Oxygen inayowezesha kufanya mawasiliano kwa njia ya mazungumzo, ujumbe mfupi (SMS), sauti, video, picha pamoja na aina mbalimbali za mafaili.Programu hii inafanya kazi kama programu nyingine za kijamii na shirikishi zikiwemo WhatsApp, Telegram na Skype, huku programu ya Oxygen ikiwa na vitu vingi vya ziada.Meneja wa Kituo cha Utafiti na Ubunifu na Uendeleza...

Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) imefanikiwa kutengeneza mfumo shirikishi wa kidijitali wenye usalama na gharama nafuu unaomuwezesha mwananchi au taasisi kutengeneza na kujaza dodoso, kupata tathmini pamoja na takwimu za dodoso kwa njia ya mtandao. Hayo yalibainishwa na Meneja wa Kituo cha Utafiti na Ubunifu na Uendelezaji wa Serikali Mtandao (eGovRIDC) cha e-GA, Mhandisi Dkt. Jaha Mvulla alipofanya mazungumzo na mwandishi wetu ofisini kwake...