emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule, ameipongeza Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) kwa bunifu mbalimbali za Mifumo ya TEHAMA inayorahisisha utendaji kazi na utoaji wa huduma kwa wananchi.Rosemary alitoa pongezi hizo hivi karibuni, wakati alipotembelea banda la maonesho la e-GA katika maadhimisho ya wiki ya kitaifa ya ubunifu na MAKISATU, yaliyofanyika April 24 hadi 28 mwaka huu katika viwanja vya Jamhuri jijini Dodoma."Taasisi yetu ya...

Soma Zaidi

Mwenyekiti wa Chama cha Viziwi Tanzania (CHAVITA) Wilaya ya Rufiji Mkoa wa Pwani Bw. Suleiman Zalala ameipongeza Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA) kwa huduma jumuishi za Utekelezaji wa Jitihada za Serikali Mtandao kwa watu wenye ulemavuMwenyekiti ametoa pongezi hizo wakati wa kilele cha kikao kazi cha tatu (3) cha Serikali Mtandao kilichofanyika hivi karibuni katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Arusha (AICC) jijini Arusha.Bw. Zalala ameishu...

Soma Zaidi

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), Mhandisi Benedict Ndomba, amewataka watumishi wa Mamlaka hiyo kufanya kazi kwa kuzingatia misingi mikuu sita ya Taasisi.Ndomba alisema hayo hivi karibuni, wakati wa kikao cha Watumishi wa Mamlaka kilichofanyika kwa muda wa siku tatu katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam kwa lengo la kuwajengea uwezo watumishi hao katika masuala mbalimbali yanayohusu utumishi wa umma.“e-GA inaongozwa...

Soma Zaidi

Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) imetoa mchango wa kompyuta 10 kwa Jeshi la Polisi nchini, ikiwa ni sehemu ya kuhamasisha matumizi ya teknolojia katika utoaji wa haki kwa wananchi.Makabidhiano hayo yalifanyika jana katika Ofisi za Mamlaka jijini Dar es Salaam ambapo kwa upande wa e-GA Bw. Benjamin Dotto Mkurugenzi wa Miundombinu na Uwezeshaji wa TEHAMA alikabidhi komputa hizo kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu Mhandisi. Benedict Ndomba.Akiongea wakat...

Soma Zaidi

Kaimu Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa Hesabu za Serikali (IAG) Mwanyika Semroki, amewataka Wakaguzi wa Ndani kuhakikisha Mifumo ya TEHAMA inayoanzishwa katika Taasisi zao inazingatia miongozo na viwango vilivyowekwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA).Mwanyika alitoa kauli hiyo jana wakati akifunga mafunzo maalum ya ukaguzi wa Mifumo na Miradi ya TEHAMA yaliyotolewa kwa Wakaguzi wa Ndani wa halmashauri na Tawala za Mikoa yaliyofanyika kwa siku tano mk...

Soma Zaidi
Mpangilio