RC DODOMA AIPONGEZA e-GA KWA UBUNIFU WA MIFUMO YA TEHAMA

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule, ameipongeza Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) kwa bunifu mbalimbali za Mifumo ya TEHAMA inayorahisisha utendaji kazi na utoaji wa huduma kwa wananchi.Rosemary alitoa pongezi hizo hivi karibuni, wakati alipotembelea banda la maonesho la e-GA katika maadhimisho ya wiki ya kitaifa ya ubunifu na MAKISATU, yaliyofanyika April 24 hadi 28 mwaka huu katika viwanja vya Jamhuri jijini Dodoma."Taasisi yetu ya...







