CHAVITA yaipongeza eGA kwa huduma za Serikali Mtandao jumuishi kwa watu wenye ulemavu

Mwenyekiti wa Chama cha Viziwi Tanzania (CHAVITA) Wilaya ya Rufiji Mkoa wa Pwani Bw. Suleiman Zalala ameipongeza Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA) kwa huduma jumuishi za Utekelezaji wa Jitihada za Serikali Mtandao kwa watu wenye ulemavuMwenyekiti ametoa pongezi hizo wakati wa kilele cha kikao kazi cha tatu (3) cha Serikali Mtandao kilichofanyika hivi karibuni katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Arusha (AICC) jijini Arusha.Bw. Zalala ameishu...