emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO/IEC 27001:2022 | ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) imetengeneza programu ya kijamii ya mawasiliano iitwayo Oxygen inayowezesha kufanya mawasiliano kwa njia ya mazungumzo, ujumbe mfupi (SMS), sauti, video, picha pamoja na aina mbalimbali za mafaili.Programu hii inafanya kazi kama programu nyingine za kijamii na shirikishi zikiwemo WhatsApp, Telegram na Skype, huku programu ya Oxygen ikiwa na vitu vingi vya ziada.Meneja wa Kituo cha Utafiti na Ubunifu na Uendeleza...

Soma Zaidi

Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) imefanikiwa kutengeneza mfumo shirikishi wa kidijitali wenye usalama na gharama nafuu unaomuwezesha mwananchi au taasisi kutengeneza na kujaza dodoso, kupata tathmini pamoja na takwimu za dodoso kwa njia ya mtandao. Hayo yalibainishwa na Meneja wa Kituo cha Utafiti na Ubunifu na Uendelezaji wa Serikali Mtandao (eGovRIDC) cha e-GA, Mhandisi Dkt. Jaha Mvulla alipofanya mazungumzo na mwandishi wetu ofisini kwake...

Soma Zaidi

Mradi wa ‘Digital Tanzania’ unatarajiwa kuimarisha utoaji wa huduma kwa njia ya kidijitali kati ya Serikali, Wananchi pamoja na Wafanyabiashara sambamba na kuchochea uwekezaji katika miradi ya kidijitali nchini.Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Eng. Benedict Ndomba alipozungumza na mwandishi wetu kuhusu mradi huo ofisini kwake jijini Dodoma.Alibainisha kuwa, mradi huo una malengo makuu mawili ambayo ni ku...

Soma Zaidi

Afisa TEHMA Mwandamizi kutoka Idara ya Usimamizi wa Huduma za TEHAMA Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Bi. Mwanaasha Semboko ameibuka mshindi katika kinyang’anyiro cha kumchagua Mtumishi Mahiri wa Mamlaka kwa mwaka 2023.Hayo yalibainishwa na Meneja wa Rasilimali Watu wa Mamlaka ya Serikali Mtandao Bw. Erick Kalembo wakati wa mahojiano na mwandishi wetu jijini Dar Es Salaam kwenye kilele cha maadhimisho ya siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) 2...

Soma Zaidi

Mfumo wa e-board umerahisisha na kuwezesha uratibu wa shughuli zote za uandaaji wa vikao mbalimbali vya bodi na menejimenti katika Halmashauri na Taasisi za Umma.Mfumo huu wa kidigitali unawezesha sekretarieti kuandaa yatokanayo kwenye kikao, wajumbe kupiga kura na kuwawezesha wajumbe wa menejimenti kutengeneza ripoti za utendaji kazi katika vipindi mbalimbali vya mwaka.Meneja wa Kituo cha Utafiti na Ubunifu na Uendelezaji wa Serikali Mtandao (eG...

Soma Zaidi
Mpangilio