OXYGEN : PROGRAMU YA KIJAMII YA MAWASILIANO ILIYOTENGENEZWA NA VIJANA WA KITANZANIA

Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) imetengeneza programu ya kijamii ya mawasiliano iitwayo Oxygen inayowezesha kufanya mawasiliano kwa njia ya mazungumzo, ujumbe mfupi (SMS), sauti, video, picha pamoja na aina mbalimbali za mafaili.Programu hii inafanya kazi kama programu nyingine za kijamii na shirikishi zikiwemo WhatsApp, Telegram na Skype, huku programu ya Oxygen ikiwa na vitu vingi vya ziada.Meneja wa Kituo cha Utafiti na Ubunifu na Uendeleza...







