TANZANIA YANG’ARA DUNIANI MATUMIZI YA TEHAMA SERIKALINI.

Tanzania imetajwa kuwa miongoni mwa nchi zinazopiga hatua kubwa katika matumizi ya TEHAMA kwa kushika nafasi ya 26 kidunia na ya pili barani Afrika baada ya Mauritius.Hayo yamebainishwa kwenye utafiti uliofanywa na Benki ya Dunia (WB) kuhusu ukomavu wa matumizi ya Teknolojia duniani katika utoaji wa huduma za serikali na ushirikishwaji wa wananchi (GovTech Maturity Index) Ripoti hiyo ambayo inatokana na utafiti uliofanyika mwaka 2022 katika nchi...







