emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Serikali imetengeneza Sheria, Kanuni, Miongozo na Viwango vya utekelezaji wa Jitihada za Serikali Mtandao ili kuhakikisha kuwa, Taasisi za Umma zinatekeleza jitihada hizo katika viwango na ubora unaotakiwa.Miongozo hiyo hutoa maelekezo kwa Taasisi za Umma juu ya taratibu sahihi zinazotakiwa kufuatwa katika utekelezaji wa juhudi mbalimbali zinazohusu matumizi ya TEHAMA katika Taasisi za Umma. Meneja Udhibiti wa Viwango vya TEHAMA Bi. Sultana Seiff...

Soma Zaidi

Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, kupitia Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), imetengeneza Mfumo wa kidigitali ujulikanao kama e-Mrejesho, unaomuwezesha mwananchi kuwasilisha malalamiko, kero, maoni, mapendekezo, au maulizo moja kwa moja kwenye Taasisi /Wizara husika sambamba na kufuatilia utekelezaji wake.Mfumo huo wa kidigitali una lengo la kumsaidia mwananchi kupunguza gharama pamoja na kuokoa muda wa kutembea umb...

Soma Zaidi

Serikali inaweka Miundombinu salama ya TEHAMA inayoziwezesha Taasisi za Umma kushirikiana katika matumizi ya rasilimali za TEHAMA ili kuondoa urudufu, kupunguza gharama na kuongeza ubora wa huduma zinazotolewa kwa umma, pamoja na kuhakikisha usalama wa mawasiliano.Miundombinu iliyopo ni pamoja na Mkongo wa Taifa (NICTBB), Mtandao wa Serikali (GovNet), Vituo vya Kitaifa vya Data na Masafa ya Intaneti. Hayo yameelezwa na Meneja Usimamizi wa Mtandao...

Soma Zaidi

Mamlaka ya Serikali Mtandao kwa kushirikiana na Wizara ya Maji imesanifu na kutengeneza Mfumo wa Pamoja wa Utoaji Ankara za Maji (Maji Intergrated and Unified Billing System-MAJIIS) kwa lengo la kurahisisha uendeshaji, usimamizi na udhibiti wa mapato ya Mamlaka za Maji na Bodi za maji za Mabonde Tanzania.Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Serikali Mtandao, Mhandisi. Benedict Ndomba amesema kuwa, awali taasisi nyingi za maji hazikuwa na mifumo inayorah...

Soma Zaidi

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa umma na Utawala Bora Mhe.Jenista Mhagama (Mb), ameitaka Bodi ya Wakurungezi ya Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi, sambamba na kuwajengea uelewa wadau mbalimbali kuhusu dhana na umuhimu wa Serikali Mtandao kwa ustawi wa Taifa.Waziri Mhagama ameyasema hayo Novemba 25 mwaka huu wakati akizindiua Bodi hiyo katika ukumbi wa mikutano wa Ofisi za e-GA Kanda y...

Soma Zaidi
Mpangilio