emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO/IEC 27001:2022 | ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) imetoa mchango wa kompyuta 10 kwa Jeshi la Polisi nchini, ikiwa ni sehemu ya kuhamasisha matumizi ya teknolojia katika utoaji wa haki kwa wananchi.Makabidhiano hayo yalifanyika jana katika Ofisi za Mamlaka jijini Dar es Salaam ambapo kwa upande wa e-GA Bw. Benjamin Dotto Mkurugenzi wa Miundombinu na Uwezeshaji wa TEHAMA alikabidhi komputa hizo kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu Mhandisi. Benedict Ndomba.Akiongea wakat...

Soma Zaidi

Kaimu Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa Hesabu za Serikali (IAG) Mwanyika Semroki, amewataka Wakaguzi wa Ndani kuhakikisha Mifumo ya TEHAMA inayoanzishwa katika Taasisi zao inazingatia miongozo na viwango vilivyowekwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA).Mwanyika alitoa kauli hiyo jana wakati akifunga mafunzo maalum ya ukaguzi wa Mifumo na Miradi ya TEHAMA yaliyotolewa kwa Wakaguzi wa Ndani wa halmashauri na Tawala za Mikoa yaliyofanyika kwa siku tano mk...

Soma Zaidi

Mamlaka ya Serikali Mtandao e-GA imewataka Wakaguzi wa ndani wa Halmashauri na Tawala za Mikoa kuzingatia sheria na miongozo ya Serikali Mtandao, wakati wa ukaguzi wa Mifumo ya TEHAMA katika Taasisi zao ili kupunguza hoja za ukaguzi.Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi Mkuu wa e-GA Mhandisi. Benedict Ndomba, wakati wa Mafunzo ya siku tano (05) ya kuwajengea uwezo Wakaguzi wa Ndani wa halmashauri na Tawala za Mikoa ili waweze kukagua Mifumo ya TEHAM...

Soma Zaidi

Mfumo wa Ofisi Mtandao (e-office) umetengenezwa ili kuwezesha na kurahisisha shughuli za utawala za kila siku ndani ya Taasisi za Serikali. Shughuli hizo zinahusu mzunguko wa mafaili na nyaraka ndani ya Taasisi za Umma.Akieuelezea Mfumo huo Afisa TEHAMA wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Bw. Joseph Kimario alisema kuwa, Mfumo huu umekuwa ukifanyiwa maboresho madogo madogo ili kuuongezea ufanisi katika utendaji wake kuanzia toleo la kwanza na s...

Soma Zaidi

Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) itaendele imeweka mikakati madhubuti ya utekelezaji wa jitihada za Serikali Mtandao itakayosaidia kuimarisha na kuijenga serikali kidijitali. Kauli hiyo imetolewa leo jijini Dodoma na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), Mhandisi Benedict Ndomba wakati alipofanya mkutano na waandishi wa habari, kuhusu utekelezaji wa majukumu ya Mamlaka. “Katika kipindi cha miaka 10 ijayo, e-GA itaan...

Soma Zaidi
Mpangilio