emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO/IEC 27001:2022 | ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Meneja wa Rasilimali Watu na Utawala wa Mamlaka ya Serikali Mtandao Bw. Erick Kalembo, amewapongeza wataalamu waliotengeneza Mfumo Shirikishi wa Kusimamia Shughuli na Rasilimali za Taasisi (ERMS) kwani umerahisisha utendaji kazi wa idara na vitengo mbalimbali vya Taasisi za Umma katika shughuli za kiutendaji za kila siku. Bw. Kalembo ametoa pongezi hizo, wakati wa mahojiano maalum na mwandishi wetu kuhusu mafanikio ya Mfumo huo kwenye sekta ya...

Soma Zaidi

Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Deogratius Ndejembi (Mb) amezitaka Taasisi za Umma kushirikiana na Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) katika kutengeneza Mifumo ya TEHAMA itakayorahisisha utoaji wa huduma bora kwa Wananchi.Ndejembi alisema hayo jana, wakati alipofanya ziara ya kikazi ya siku moja kukagua utekelezaji wa majukumu mbalimbali ya Mamlaka, katika Ofisi za e-GA Kanda ya Nyanda za Juu Kusin...

Soma Zaidi

Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deogratius Ndejembi (Mb), ameitaka Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) kuendelea kufanya utafiti na ubunifu wa Mifumo ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) ili kuibua Mifumo itakayosaidia kuimarisha sekta ya viwanda, biashara na uwekezaji ili kuleta maendeleo kwa taifa.Mhe. Ndejembi ametoa wito huo wakati akifungua kikao kazi cha tatu cha Serikali Mtandao ki...

Soma Zaidi

Mfumo wa Kielektroni wa Pamoja wa Uondoshaji wa Shehena Bandarini na Maeneo Mengine ya Forodha (TeSWS) maarufu kama ‘Single Window’ umerahisisha usafirishaji wa shehena zinazoingia na kutoka nchini.Mfumo huo unaruhusu uwasilishaji wa nyaraka na taarifa zinazohusu shehena kwenye Mfumo mmoja na taarifa hizo kuchakatwa na kusambazwa na Mfumo wenyewe kwenda kwa Tasisi na wadau husika.Hayo yamebainishwa na Mkurungezi Mkuu wa Mamlaka ya Serikali Mtanda...

Soma Zaidi

Tasisi mbalimbali za Umma zimefanikiwa kuandaa na kufunga hesabu kwa mwaka wa fedha 2021/2022 kwa kutumia Mfumo wa kusimamia shughuli na Rasilimali za Tasisi (ERMS).Hayo yamebainishwa na Kaimu Meneja wa Utengenezaji wa Mifumo ya Mamlaka Bw. Donald Samwel wakati wa mahojiano na mwandishi wetu ofisini kwake jijini Dodoma, wakati akieleza mafanikio ya Mfumo wa ERMS kwa mwaka wa fedha 2021/2022.Bw. Donald amezitaja Tasisi hizo kuwa ni Mfuko wa Taifa...

Soma Zaidi
Mpangilio