ERMS Ilivyorahisisha Utendaji Kazi wa Idara na Vitengo Mbalimbali vya Taasisi za Umma

Meneja wa Rasilimali Watu na Utawala wa Mamlaka ya Serikali Mtandao Bw. Erick Kalembo, amewapongeza wataalamu waliotengeneza Mfumo Shirikishi wa Kusimamia Shughuli na Rasilimali za Taasisi (ERMS) kwani umerahisisha utendaji kazi wa idara na vitengo mbalimbali vya Taasisi za Umma katika shughuli za kiutendaji za kila siku. Bw. Kalembo ametoa pongezi hizo, wakati wa mahojiano maalum na mwandishi wetu kuhusu mafanikio ya Mfumo huo kwenye sekta ya...







