emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO/IEC 27001:2022 | ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Mhe. Athumani Kilundumya, ameipongeza Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) kwa kuimarisha ushirikiano na sekta ya kilimo katika kuleta mapinduzi ya kidijitali katika sekta hiyo. Mhe. Kilundumya ameyasema hayo leo wakati alipotembelea banda la e-GA katika maonesho ya Kilimo na Wafugaji “Nanenane” yanayofanyika kitaifa katika viwanja vya Nzuguni jijini Dodoma. Alibainisha kuwa, Wizara ya Kilimo ime...

Soma Zaidi

Programu ya Mafunzo kwa Vitendo inayoratibiwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), kupitia Kituo chake cha Utafiti, Ubunifu na Uendelezaji wa Serikali Mtandao kwa mwaka 2025 imezinduliwa rasmi  jijini Dodoma. Programu hiyo ya wiki 10  hutolewa kwa wanafunzi wa Vyuo Vikuu wanaosomea fani ya TEHAMA, ambapo jumla ya wanafunzi  57 wanaosoma fani hiyo kutoka katika Vyuo 13 vya ndani pamoja na chuo kimoja kutoka nje ya nchi, wanas...

Soma Zaidi

Tanzania kupitia Mfumo wa e-Mrejesho toleo la pili (e-MrejeshoV2) imeibuka mshindi katika kipengele cha Serikali Mtandao, kwenyeTuzo za Mkutano wa Dunia wa Jumuiya ya TEHAMA mwaka 2025 (World Summit on the Information Society -WSIS 2025). Utoaji wa tuzo za WSIS umefanyika Julai 7 katika mkutano wa Tukio la Ngazi ya Juu la Jukwaa la WSIS+20 (WSIS+20 Forum High-Level Event), unaofanyika mjini Geneva USWIS kuanzia tarehe 7 hadi 11 Julai mwaka huu...

Soma Zaidi

•    Azitaka Taasisi zote za Umma kuijunga na Mfumo huo ifikapo Julai 30 •    Asisitiza  Taasisi za Umma kutekeleza maelekezo ya Mhe. Rais •    Afurahishwa na faida za Mfumo huo kwa Serikali Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa (Mb), ameziagiza taasisi za umma ambazo bado hazijajiunga na Mfumo wa  Kuwasiliana na Kubadilishana Taarifa Serikal...

Soma Zaidi

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene (Mb), ameipongeza Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) kwa usimamizi mzuri wa taasisi hiyo. Mhe. Waziri ameyasema hayo Mei 20, mwaka huu wakati alipofanya kikao kazi maalum na bodi hiyo katika ofisi za e-GA Mtumba jijini Dodoma. Aliongeza kuwa, usimamizi makini wa bodi hiyo umeiwezesha e-GA kutekeleza majukumu y...

Soma Zaidi
Mpangilio