emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

WAZIRI MKUU wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), amesema kuwa matumizi ya Mfumo wa Kielektroniki wa Baraza la Mawaziri (e-Cabinet), unalenga kurahisisha utendaji kazi wa baraza hilo sambamba na kurahisisha utoaji wa huduma kwa wananchi. Mhe. Majaliwa amesema hayo Novemba 11 mwaka huu, wakati akifunga Mkutano wa Kazi wa Mawaziri na Naibu Mawaziri, kuhusu matumizi ya mfumo wa e-CABINET, uliofanyika katika ukumbi...

Soma Zaidi

Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), imetengeneza Mfumo wa Usalama wa Kidigitali wa Uthibitishaji wa vipengele vingi ujulikanao kama NGAO, utakaotumika kuhakikisha usalama wa ziada wa taarifa muhimu kwa watumiaji wa mifumo ya Serikali. Mkurugenzi wa Udhibiti na Usalama wa TEHAMA Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Bw. Sylvani Shayo amesema, mfumo wa NGAO unalenga kuhakikisha watumiaji wanaweza kufikia mifumo ya Serikali kwa njia salama zaidi, ku...

Soma Zaidi

Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), imetoa elimu kuhusu Sheria, Kanuni, Viwango na Miongozo ya Serikali Mtandao kwa Kamati tendaji ya TEHAMA ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC). Lengo la mafunzo hayo ni kuijengea uwezo kamati hiyo juu ya namna inavyoweza kutekeleza ujenzi wa Serikali ya Kidijiti katika taasisi hiyo. Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume hiyo Bw.Ramadhani Kailima amesema kuwa, mafunzo hayo ni sehemu ya Maandalizi ya INEC kuele...

Soma Zaidi

Kamati ya Kusimamia Ofisi za Viongozi Wakuu wa Kitaifa ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar pamoja na Watendaji wa Mamlaka ya Serikali Mtandao Zanzibar (eGAZ), wametembelea Makao Makuu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Mtumba jijini Dodoma. Ujumbe huo, ukiongozwa na Mwenyekiti wa Kamati Mh.Machano Othman Said, umetembelea e-GA ikiwa ni muendelezo wa ushirikiano kati ya pande hizo mbili katika kuendeleza eneo la Serikali Mtandao Tanzania Bara...

Soma Zaidi

Lilianza kama wazo, kisha wataalamu wakaketi na kutengeneza mfumo wa Baruapepe za Serikali (Government Mailing System - GMS), ambapo sasa umetimia muongo mmoja wa mafanikio ya matumizi ya mfumo huu. Kwanini tusijenge mfumo wa baruapepe za Serikali, ili kila mtumishi wa umma aweze kufanya mawasiliano ya kiofisi kupitia mfumo huu? Hili ndilo swali lililoifanya Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), kusanifu na kujenga mfumo wa GMS mwaka 2014. Dh...

Soma Zaidi
Mpangilio