emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Ufanisi wa Serikali Mtandao hutegemea usimamizi mzuri wa rasilimali, ushirikiano wa wadau, na utekelezaji wa mikakati madhubuti ili kuiwezesha Serikali kutoa huduma bora, kupunguza urasimu, na kuongeza uwazi, na hatimaye kuboresha maisha ya wananchi.Katika kuhakikisha usimamizi thabiti wa Serikali Mtandao nchini, Kifungu cha 15 cha Sheria ya Serikali Mtandao Namba 10 Sura ya 273 ya Mwaka 2019 (Sheria), kinaelekeza juu ya uanzishwaji wa muundo na...

Soma Zaidi

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene (Mb), leo Desemba 03, 2024 ametembelea na kukagua ujenzi wa jengo la Makao Makuu ya Ofisi za Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), lilolopo katika mji wa Serikali Mtumba jijini Dodoma. Mhe.Simbachawene amemtaka mkandarasi Suma JKT na msimamizi wa ujenzi huo ambaye ni Wakala wa Majengo Nchini (TBA), kuongeza kasi ili kukamilisha jengo hilo mape...

Soma Zaidi

WAZIRI MKUU wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), amesema kuwa matumizi ya Mfumo wa Kielektroniki wa Baraza la Mawaziri (e-Cabinet), unalenga kurahisisha utendaji kazi wa baraza hilo sambamba na kurahisisha utoaji wa huduma kwa wananchi. Mhe. Majaliwa amesema hayo Novemba 11 mwaka huu, wakati akifunga Mkutano wa Kazi wa Mawaziri na Naibu Mawaziri, kuhusu matumizi ya mfumo wa e-CABINET, uliofanyika katika ukumbi...

Soma Zaidi

Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), imetengeneza Mfumo wa Usalama wa Kidigitali wa Uthibitishaji wa vipengele vingi ujulikanao kama NGAO, utakaotumika kuhakikisha usalama wa ziada wa taarifa muhimu kwa watumiaji wa mifumo ya Serikali. Mkurugenzi wa Udhibiti na Usalama wa TEHAMA Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Bw. Sylvani Shayo amesema, mfumo wa NGAO unalenga kuhakikisha watumiaji wanaweza kufikia mifumo ya Serikali kwa njia salama zaidi, ku...

Soma Zaidi

Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), imetoa elimu kuhusu Sheria, Kanuni, Viwango na Miongozo ya Serikali Mtandao kwa Kamati tendaji ya TEHAMA ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC). Lengo la mafunzo hayo ni kuijengea uwezo kamati hiyo juu ya namna inavyoweza kutekeleza ujenzi wa Serikali ya Kidijiti katika taasisi hiyo. Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume hiyo Bw.Ramadhani Kailima amesema kuwa, mafunzo hayo ni sehemu ya Maandalizi ya INEC kuele...

Soma Zaidi
Mpangilio