emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Lilianza kama wazo, kisha wataalamu wakaketi na kutengeneza mfumo wa Baruapepe za Serikali (Government Mailing System - GMS), ambapo sasa umetimia muongo mmoja wa mafanikio ya matumizi ya mfumo huu. Kwanini tusijenge mfumo wa baruapepe za Serikali, ili kila mtumishi wa umma aweze kufanya mawasiliano ya kiofisi kupitia mfumo huu? Hili ndilo swali lililoifanya Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), kusanifu na kujenga mfumo wa GMS mwaka 2014. Dh...

Soma Zaidi

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Mhandisi Benedict Ndomba leo tarehe 18/10/2023 ameongoza mazoezi ya kikundi cha e-GA Jogging Club kinachoundwa na Watumishi wa Mamlaka hiyo Makao Makuu jijini Dodoma. Mazoezi hayo ni mojawapo wa mkakati wa Mamlaka katika kupambana na magonjwa yasiyoambukizwa pamoja na kuimarisha afya za Watumishi.Kikundi hicho hufanya mazoezi kila siku ya Jumatano na Ijumaa.

Soma Zaidi

Taasisi zote za Umma zatakiwa kujiunga na kutumia mfumo wa e-Mrejesho ili kuweza kutatua changamto mbalimbali zinazowakabili wananchi.Hayo yamesemwa na Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bw. Xavier Daudi wakati akifunga kikao kazi cha mafunzo ya mfumo wa e-Mrejesho yaliyofanyika katika Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa Oktoba4, 2024."Kabla ya mwezi huu Oktoba kuisha taasisi zote za Umma ambazo bado hazija...

Soma Zaidi

Rais wa Zambia Mhe. Hakainde Hichilema, ametembelea banda la maonesho la Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) wakati wa Mkutano wa Serikali Dijitali Afrika (Africa Digital Government Conference), unaofanyika katika jiji la Lusaka nchini humo. Mhe. Hakainde amepokelewa na Balozi wa Tanzania nchini Zambia Lt. Gen. Mathew Edward Mkingule,na kuona mifumo mbalimbali ya kielekroniki iliyojengwa na kusanifiwa na e-GA ukiwemo mfumo wa Ofisi Mtandao (e-O...

Soma Zaidi

Ushirikiano uliopo kati ya Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) na Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), umechangia kukua kwa matumizi ya Serikali Mtandao katika uendeshaji wa shughuli za bandari na utoaji wa huduma kwa wananchi. Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi wa TEHAMA wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) Abdulatif Minhajj, hivi karibuni wakati alipofanya mahojiano maalum na mwandishi wetu kuhusu mchango wa e-GA katika...

Soma Zaidi
Mpangilio