emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Ushirikiano uliopo kati ya Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) na Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), umechangia kukua kwa matumizi ya Serikali Mtandao katika uendeshaji wa shughuli za bandari na utoaji wa huduma kwa wananchi. Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi wa TEHAMA wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) Abdulatif Minhajj, hivi karibuni wakati alipofanya mahojiano maalum na mwandishi wetu kuhusu mchango wa e-GA katika...

Soma Zaidi

Serikali Mtandao ni matumizi ya TEHAMA katika utendaji wa kazi Serikalini na utoaji wa huduma kwa wananchi, dhamira kuu ya Serikali Mtandao ni kuongeza ufanisi wa utendaji kazi Serikalini na kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora kwa urahisi na haraka zaidi mahali walipo. Ili kuhakikisha dhamira ya ujenzi sahihi wa Serikali Mtandao inafikiwa, Sheria ya Serikali Mtandao Na. 10, Sura Na. 273 ya Mwaka 2019, inatoa muongozo wa namna bora ya mat...

Soma Zaidi

Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), imetoa elimu ya matumizi ya Serikali Mtandao kwa viziwi wakati wa maadhimisho ya Wiki ya Kimataifa ya Viziwi 2024, ambayo kitaifa yalifanyika mkoani Shinyanga Septemba hadi mwaka huu. Katika kongamano hilo, e-GA ilitoa elimu kuhusu Serikali Mtandao na namna inavyoweza kurahisisha upatikanaji wa huduma za Serikali kupitia mifumo mbalimbali ya TEHAMA kwa watu wenye mahitaji maalumu wakiwemo Viziwi. Moja ya...

Soma Zaidi

Wakuu wa Vitengo na Idara za TEHAMA Serikalini, wametakiwa kuwashirikisha Wakaguzi wa Ndani wa taasisi, katika hatua za awali za ujenzi wa mifumo na miradi ya TEHAMA ili kuhakikisha inazingatia Sheria, Viwango na Miongozo ya Serikali Mtandao. Wito huo umetolewa jana Mkaguzi wa Ndani Mkuu wa Serikali kutoka Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Serikali Bw. Benjamin Magai, wakati wa kufunga mafunzo maalum kwa Wakaguzi wa Ndani wa taasisi na mashirika ya u...

Soma Zaidi

NAIBU Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Deus Clement Sangu (Mb), ameitaka Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) kuimarisha ushirikiano na sekta binafsi, ili kuongeza wigo wa ajira kwa vijana wabunifu kwenye eneo la TEHAMA. Mhe. Sangu ametoa rai hiyo hivi karibuni, wakati akifunga programu ya awamu ya tano ya mafunzo kwa vitendo (practical training) pamoja na mafunzo kazini (internship) kwa mwaka wa fedha 2...

Soma Zaidi
Mpangilio