emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Kamati ya Bodi ya Ukaguzi, Vihatarishi na Ubora ya Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), leo imefanya kikao cha kujadili utendaji kazi wa Vitengo vya Ukaguzi wa Ndani na Kitengo cha Usimamizi wa ubora na Vihatarishi vya TEHAMA kwa kipindi cha Julai - Septemba, 2023. Kamati imeeleza kuridhishwa na utendaji kazi wa vitengo hivyo, kwa kufikia malengo kwa asilimia 100, pamoja na kutekeleza kwa wakati maagizo yanayotolewa na Bodi ya Wakurugenzi ya Mamla...

Soma Zaidi

Matumizi sahihi na salama ya mifumo ya kieletroniki Serikalini, yametajwa kuwa suluhisho la kudumu katika kuziba mianya ya upotevu wa rasilimali za serikali ikiwemo mapato yatokanayo na vyanzo mbalimbali nchini.Hayo yameelezwa jana jijini Dodoma na Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Nchemba, wakati akipokea na kuzindua Mfumo wa Kieletroni wa Kuratibu Ununuzi wa Mafuta Serikalini, ujulikanao kama ‘GPSA Intergrated Management Information System’ (GIMIS),...

Soma Zaidi

Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), imeahidi kushirikiana na Benki ya NMB ili kuimarisha, kukuza na kuendeleza ujuzi na vipaji kwa vijana wa Kitanzania wabunifu na wale wanaosoma fani ya TEHAMA, katika Vyuo Vikuu mbalimbali nchini, kupitia programu maalum ya mafunzo kwa vitendo inayotolewa na e-GA kupitia Kituo chake cha Utafiti, Ubunifu na Uendelezaji wa Serikali Mtandao (eGOVRIDC).Kauli hiyo ilitolewa hivi karibuni na Mkurugenzi Mkuu wa e-GA M...

Soma Zaidi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi, akimkabidhi cheti cha shukran ya udhamini Mkurugenzi wa Huduma za TEHAMA wa Mamlaka ya Serikali Mtandao ( e-GA) Bw. Ricco Boma, kwenye Mkutano Mkuu wa 7 wa Mashirika ya Utangazaji ya Umma Kusini mwa Afrika (SABA). Mkutano huo unafanyika kwa siku tatu kuanzia leo Oktoba 10 hadi 12 katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Kisiwani Unguja ambapo e-GA ni miongoni mwa wa...

Soma Zaidi
Mpangilio