emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Wakuu wa Taasisi za Umma wametakiwa kuweka mazingira mazuri na wezeshi ya utekelezaji wa jitihada za Serikali Mtandao, ikiwa ni pamoja na kuwajengea uwezo wataalamu wa TEHAMA katika taasisi zao ili waweze kukabiliana na mabadiliko ya teknolojia yanayoibuka mara kwa mara.Wito huo umetolewa na Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mh. Ridhiwani Kikwete (Mb), wakati akifunga Kikao Kazi cha Nne cha Serikali Mta...

Soma Zaidi

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mh. George Simbachawene, amewataka watumishi wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) kuendelea kufanya kazi kwa ubunifu na uadilifu, ili kuhakikisha dhamira ya ujenzi wa Serikali Mtandao inatimia.Waziri Simbachawene ameyasema hayo jana baada ya kutembelea Ofisi za e-GA kituo cha Iringa na kufanya mazungumzo na watumishi wa kituo hicho.Amebainisha kuwa, dhamira ya Rais D...

Soma Zaidi

Serikali imeahidi kuendelea kusimamia na kuhakikisha matumizi ya TEHAMA katika Taasisi za Umma yanaimarika zaidi, ili kuongeza ufanisi wa utendaji kazi na kurahisisha upatikanaji wa huduma za Serikali kwa wananchi kidijitali.Hayo yamebainishwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mh. George Simbachawene, wakati akifungua Kikao Kazi cha 4 cha Serikali Mtandao kilichofanyika kwa siku tatu kuanzia Februar...

Soma Zaidi

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), imeipongeza Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) kwa kuendeleza tafiti na bunifu zinazochagiza usanifu na utengenezaji wa mifumo ya TEHAMA inayoleta tija kwa taifa.Pongezi hizo zimetolewa na Makamu Mwenyekiti wa kamati ya PAC Mh. Japhet Hasunga, mara baada ya kamati hiyo kufanya ziara fupi ya kutembelea Kituo Cha Utafiti, Ubunifu na Uendelezaji wa Serikali Mtandao (eGOVRIDC) cha Mamlaka ya Seri...

Soma Zaidi

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mh.Ridhiwani Kikwete, amezitaka taasisi za umma kuimarisha ulinzi wa mifumo ya TEHAMA ili kuondoa utapeli dhidi ya wananchi unaowezakufanywa na watu wenye nia ovu kupitia mifumo hiyo.Mh.Kikwete ametoa rai hiyo leo tarehe 8 Februari 2024 jijini Arusha wakati akifunga Kikao Kazi cha 4 cha Serikali Mtandao kilichoandaliwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA).

Soma Zaidi
Mpangilio