emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Watumishi wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA). wametakiwa kutenga muda wa kutosha kwa ajili ya masuala mbalimbali yanayohusu maisha binafsi, ili kujiepusha na msongo wa mawazo unaoweza kusababisha matatizo ya afya ya akili.Wito huo umetolewa hivi karibuni na Daktari Bingwa kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili Dkt. Garvin Kweka, wakati akitoa elimu ya afya ya akili kwa watumishi wa Mamlaka katika kikao cha watumishi kilichofanyika jijini Dar es S...

Soma Zaidi

Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), imethibitishwa kuwa Taasisi inayofuata viwango vya Kimataifa (ISO) katika kuratibu, kusimamia na kukuza jitihada za Serikali Mtandao, pamoja na kuhimiza utekelezaji wa Sera, Sheria, Kanuni, Viwango na Miongozo ya Serikali Mtandao kwa Taasisi za Umma kulingana na Kiwango cha Ubora wa Kimataifa (ISO 9001:2015).Hayo yameshwabaini na Kaimu Meneja wa Kitengo cha Usimamizi wa Vihatarishi na Ubora wa TEHAMA wa Mamlaka...

Soma Zaidi

Ushirikishwaji wa watu wenye ulemavu katika makongamano na mikutano ya kitaaluma, umetajwa kuwa chachu ya uboreshaji wa huduma jumuishi kwa makundi maalumu.Hayo yameelezwa na Mwenyekiti wa Chama cha Viziwi Tanzania (CHAVITA) Wilaya ya Rufiji Mkoa wa Pwani Bw. Suleiman Zalala, alipotoa salamu za shukurani wakati wa kilele cha Kikao Kazi cha Nne cha Serikali Mtandao kilichofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Arusha (AICC) uliopo jijin...

Soma Zaidi

Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), imeratibu na kuendesha mafunzo ya uchambuzi wa Data kubwa ‘Big data analysis’ na Akili Mnemba ‘Artificial intelligence-AI’, kwa wataalam wa TEHAMA kutoka katika Taasisi mbalimbali za Umma, ili kukuza na kuwajengea uelewa wa pamoja kuhusu teknolojia hizo utakaosaidia kukuza ufanisi na kuongeza ubora wa utoaji huduma kwa wananchi.Akizungumza wakati wa kuhitimisha mafunzo hayo Machi 23 mwaka huu, Meneja Usimamizi...

Soma Zaidi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt Samia Suluhu Hassan, amewataka viongozi wa umma kutumia Mfumo wa Kielektroniki wa Mawasiliano wa e-Mrejesho ili kupokea maoni ya wananchi kuhusu Serikali na pia kutoa mrejesho kwa wananchi kupitia mfumo huo.Dkt. Samia ametoa maelekezo hayo Machi 13 mwaka huu Ikulu jijini Dar es Salaam, mara baada ya kuwaapisha viongozi aliowateua katika nafasi mbalimbali wakiwemo Wakuu wa Mikoa, Katibu Mkuu, Wakuu w...

Soma Zaidi
Mpangilio