emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Ilianza siku na hatimaye miaka mitatu sasa imetimia tangu Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kuingia madarakani.Ilikua Ijumaa ya Machi 19 mwaka 2021, siku ambayo historia iliwekwa kwa Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuapishwa rasmi na Mhe. Prof. Ibrahim Juma, Jaji Mkuu wa Tanzania, kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na kuanza kuongoza rasmi Serikali ya Aw...

Soma Zaidi

HAKUNA mtandao!!!?, hakuna tatizo kazi iendelee! Hii ndiyo kauli unayoweza kusema ukiwa unatumia toleo jipya la baruapepe za serikali (GMS Client) ambayo inachagizwa na jina jipya la e-Barua.Mfumo huu uliobuniwa na kusanifiwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao umeingia katika maboresho muhimu katika kujibu changamoto mbalimbali zinazojitokeza kwa watumiaji wake ambao ni watumishi ndani ya wizara,halmashauri na taasisi za Umma.Moja ya changamoto iliyo...

Soma Zaidi

WAKAGUZI wa Ndani wa Serikali, wametakiwa kujifunza na kupata maarifa mapya ili kuendana na mabadiliko ya Teknolojia ya Habari na mawasiliano (TEHAMA) yanayojitokeza katika maeneo yao ya kazi.Wito huo umetolewa na Meneja wa Huduma za Sheria wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Raphael Rutahiwa, wakati wa kufunga mafunzo ya siku nne ya kuwajengea uwezo Wakaguzi wa Ndani wa Serikali juu ya namna ya kuk...

Soma Zaidi

Matumizi ya Mfumo wa kuwezesha uratibu wa shughuli za uandaaji wa vikao mbalimbali vya bodi na menejimenti katika Halmashauri na Taasisi za Umma. (e-Board), umetajwa kurahisisha uendeshaji wa vikao na kupunguza gharama za maandalizi katika halmashauri ya Manispaa ya Ilemela jijini Mwanza.Akizungumza kuhusu mfumo huo ofisini kwake jijini Mwanza, Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya Manispaa ya Ilemela Bi. Ummy Mohammed Wayayu, amesema kuwa kabla...

Soma Zaidi

Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa Serikali (IAG) Benjamin Mashauri Magai, leo Aprili 22, 2024 amefungua mafunzo ya siku nne ya Wakaguzi wa Ndani wa Taasisi na Mashirika mbalimbali ya Umma yanayofanyika jijini Arusha kuanzia leo.Mafunzo hayo yanaratibiwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa Serikali , yanalenga kuwawezesha Wakaguzi wa Ndani kufanya ukaguzi wa miradi ya TEHAMA kwa ufanisi katika maeneo...

Soma Zaidi
Mpangilio