emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Wakuu wa Vitengo vya Mawasiliano Serikalini, wametakiwa kuhuisha taarifa katika tovuti za taasisi kwa wakati, ili kuhakikisha wananchi na wadau mbalimbali wanapata taarifa sahihi za miradi ya maendeleo na huduma zitolewazo na taasisi kupitia tovuti hizo. Rai hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa Huduma za TEHAMA wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Bw. Ricco Boma, wakati akifungua mafunzo ya siku tatu ya Usimamizi na Uendeshaji wa Tovuti za Serikal...

Soma Zaidi

Mkurugenzi wa Udhibiti na Usalama wa TEHAMA Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Bw. Sylvan Shayo, amesema matumizi ya mifumo ya TEHAMA Serikalini, yameimarisha uwazi na ufanisi kwakuwa,  Serikali  inao uwezo mkubwa wa kuhifadhi nyaraka, na kupata kumbukumbu kwa usahihi na kwa wakati.  Bw.Shayo ameyasema hayo Agosti 26, mwaka huu jijini Dar es Salaam, wakati akiwasilisha  mada kuhusu  matumizi ya Ofisi Mtandao nda...

Soma Zaidi

Maafisa Habari, Uhusiano na Mawasiliano wa Serikali, wametakiwa kutumia mifumo rasmi ya Serikali katika mawasiliano ya kikazi ili kulinda taarifa za Serikali dhidi ya vitendo vya uhalifu mtandaoni. Wito huo umetolewa April mwaka huu  na Mkurugenzi wa Huduma za TEHAMA wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Bw. Ricco Boma, wakati akichangia mada kuhusu mabadiliko ya teknolojia katika mawasiliano, kwenye Mkutano Mkuu wa mwaka wa Chama cha Maa...

Soma Zaidi

Wakuu wa Vitengo vya TEHAMA Serikalini, wametakiwa kuzifanyia kazi hoja mbalimbali zinazoibuliwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kuhusu mifumo ya TEHAMA ili kuhakiksha hoja hizo hazijirudii. Rai hiyo imetolewa na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Mhandisi Benedict Ndomba, wakati wa mafunzo ya siku tatu ya Wakuu wa Vitengo vya TEHAMA kutoka ofisi za Makatibu Tawala Mikoa ya Tanzania Bara na...

Soma Zaidi
Mpangilio