emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO/IEC 27001:2022 | ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Regina Ndege Qwaray (Mb), amefanya ziara ya kikazi katika Kituo cha Utafiti, Ubunifu na Uendelezaji wa Serikali Mtandao (Research, Innovation and Development Centre – RIDC) kilichopo jijini Dodoma, ambapo amekagua miradi mbalimbali ya TEHAMA inayotekelezwa na kituo hicho kwa lengo la kuboresha utoaji wa huduma Serikalini. Katika z...

Soma Zaidi

SERIKALI kupitia Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) imeendelea kupiga hatua kubwa katika kuimarisha usalama wa mifumo ya TEHAMA, kuongeza ufanisi wa huduma za kidijitali na kuunganisha taasisi za umma katika mfumo mmoja jumuishi ili kuchochea na kurahisisha utoaji wa huduma kwa wananchi. Hayo yameelezwa Aprili 17, 2026 Bungeni jijini Dodoma na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.Ridhiwani...

Soma Zaidi

Mamlaka ya Serikali Mtandao imefanya kikao chake cha nne (4) cha Baraza la Wafanyakazi tarehe 2 Aprili 2026, jijini Dar es Salaam, kwa lengo la kujadili na kupitisha rasimu ya Bajeti ya mwaka wa fedha 2026/2027. Baraza hilo lilifanyika kwa mujibu wa Sheria ya Bajeti Na. 11 ya mwaka 2015, inayozielekeza taasisi za umma kuwasilisha na kupata idhini ya bajeti zao kupitia mabaraza ya wafanyakazi, ikiwa ni sehemu ya kuimarisha uwazi na ushirikishwa...

Soma Zaidi

Na. Catherine Peter Watumishi wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), wametakiwa kulinda afya zao ili kuongeza ufanisi katika utekelezaji wa majukumu yao kazini. Rai hiyo imetolewa hivi karibuni na Dkt. Hafidh Ameir, Afisa anayeratibu Afua za VVU mahali pa kazi ngazi ya taifa, katika Sekta ya Umma kutoka Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS), wakati wa kikao cha mwaka cha watumishi wa e-GA kilichofanyika katika ukumbi wa Wizara ya Maji...

Soma Zaidi

Katika hatua inayotajwa kama mapinduzi ya kihistoria kwenye utoaji wa haki, Mahakama ya Tanzania imeanza kutumia Akili Unde (AI) katika uandishi wa hukumu, hatua inayorahisisha, kuharakisha na kuongeza uwazi wa mashauri huku ikiimarisha imani ya wananchi kwa mhimili huo wa dola. Akizungumza katika Kikao Kazi cha sita cha Serikali Mtandao kilichofanyika jijini Arusha Februari 17 hadi 19, 2026, Mtendaji Mkuu wa Mahakama, Prof. Elisante Ole Gabri...

Soma Zaidi
Mpangilio