emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete, amewataka wananchi kuendelea kutumia mfumo wa e-Mrejesho katika kutoa pongezi, malalamiko na maoni kwa taasisi za umma na kisha kupata mrejesho wa utekelezaji. Akizungumza hivi karibuni na wanahabari jijini Dar es Salaam, Mhe.Ridhiwani alisema kwamba, utoaji wa maoni ya mara kwa mara ni jambo muhimu katika kuboresha utoaji huduma kw...

Soma Zaidi

Wadau wa Serikali Mtandao kutoka katika sekta mbalimbali ndani na nje ya nchi, wanatarajia kukutana jijini Arusha mapema mwezi Februari mwaka 2026 katika mkutano wa sita (6) wa Serikali Mtandao. Takribani wadau zaidi ya 1000 kutoka katika taasisi na mashirika mbalimbali ya umma nchini, pamoja na wageni kutoka nje ya Tanzania, wanatarajiwa kukutana katika mkutano huo utakaofanyika tarehe 10 hadi12 Februari, 2026, katika Ukumbi wa Mikutano wa Ki...

Soma Zaidi

Wadau wa Serikali Mtandao kutoka taasisi mbalimbali za umma wamekutana jijini ili kupitia na kujadili maboresho ya Viwango na Miongozo ya Serikali Mtandao, hatua inayolenga kuongeza tija, usalama na ufanisi katika utekelezaji wa jitihada za Serikali Mtandao nchini. Wadau hao wamekutana katika kikao kazi kilichoandaliwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) ili kufanya mapitio ya pamoja, kutoa maoni kuhusu miongozo ya Serikali Mtandao, na kufan...

Soma Zaidi

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete, ameitaka Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) kuwajengea uwezo watumishi wake katika matumizi ya teknolojia zinazochipukia, ili kuhakikisha zinatumika kwa usalama na kuleta tija inayokusudia. Mhe. Ridhiwani ametoa rai hiyo Novemba 25 mwaka huu, alipozungumza na watumishi wa e-GA wakati alipofanya ziara ya kikazi katika Ofisi za Mamlaka hiy...

Soma Zaidi

Maafisa waandamizi wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), wametakiwa kuimarisha waadilifu na kuzingatia vipaumbele vya taasisi na Serikali, ili waweze kuwa viongozi bora wa sasa na baadaye. Wito huo umetolewa na Mkurugenzi Mkuu wa e-GA, Mhandisi Benedict Ndomba, wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya uongozi yaliyofanyika hivi karibunimjini Morogoro. Ndomba alisema, mafunzo hayo yamelenga kuwajengea uwezo Maafisa wakuu na waandamizi wa Mamlaka h...

Soma Zaidi
Mpangilio