emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO/IEC 27001:2022 | ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Katibu Mkuu Kiongozi, Mhe. Balozi Dkt. Moses Kusiluka, amewataka Maafisa TEHAMA nchini kutumia ujuzi wao ipasavyo na kusimamia matumizi sahihi ya teknolojia kwa maslahi mapana ya Taifa. Dkt. Kusiluka ameyasema hayo wakati akifungua Kikao Kazi cha sita (6) cha Serikali Mtandao kilichofanyika tarehe 17–19 Februari, 2026 katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC), jijini Arusha. Akizungumza katika kikao kazi hicho, Balozi...

Soma Zaidi

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete amezindua Bodi ya Pili ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) tarehe 27 Januari, 2026. Akizungumza wakati wa uzinduzi huo, Waziri Kikwete alisema kwamba, Serikali inatambua mchango mkubwa wa e-GA katika ujenzi wa Serikali Mtandao na kuitaka bodi hiyo kuisimamia vema e-GA sambamba na kuimarisha ushirikiano na Menejimenti,...

Soma Zaidi

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete, ametoa onyo kwa Watumishi wa Umma dhidi ya matumizi ya baruapepe binafsi katika mawasiliano ya shughuli za Serikali. Amesema kuwa, watumishi wote wa Umma wanapaswa kutumia baruapepe rasmi za Serikali ili kulinda usalama wa taarifa Serikalini, kuongeza uwajibikaji, kuimarisha mifumo rasmi ya mawasiliano ya Serikali sambamba na kuzuia kuvuja k...

Soma Zaidi

·Tanzania Yatinga Kundi la Juu la Ukomavu wa TEHAMA Duniani kwa mara ya pili. ·Ripoti ya Benki ya Dunia Yathibitisha Mafanikio ya Mageuzi ya TEHAMA Serikalini Na Mwandishi Wetu Tanzania imeendelea kung’ara kimataifa baada ya Benki ya Dunia (World Bank - WB) kuitaja kuwa miongoni mwa nchi zilizo na ukomavu wa juu wa matumizi ya TEHAMA katika sekta ya umma, hatua inayothibitisha mafanikio ya mageuzi ya kidijitali yanayo...

Soma Zaidi

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete, amewataka wananchi kuendelea kutumia mfumo wa e-Mrejesho katika kutoa pongezi, malalamiko na maoni kwa taasisi za umma na kisha kupata mrejesho wa utekelezaji. Akizungumza hivi karibuni na wanahabari jijini Dar es Salaam, Mhe.Ridhiwani alisema kwamba, utoaji wa maoni ya mara kwa mara ni jambo muhimu katika kuboresha utoaji huduma kw...

Soma Zaidi
Mpangilio