emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO/IEC 27001:2022 | ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Serikali imezindua mifumo ya Dawati la Huduma za Serikali (Government Service Directory - GSD) na NGAO, hatua inayolenga kuimarisha utoaji wa huduma za umma kwa njia za kidijiti pamoja na kuongeza usalama wa mifumo ya Serikali. Uzinduzi huo ulifanyika Juni 23, 2026, jijini Dodoma katika kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma, ambapo Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Miko ana Serikali za Mitaa(TAMISEMI), Prof. Rizi...

Soma Zaidi

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Regina Ndege Qwaray (Mb), amefanya ziara ya kikazi katika Kituo cha Utafiti, Ubunifu na Uendelezaji wa Serikali Mtandao (Research, Innovation and Development Centre – RIDC) kilichopo jijini Dodoma, ambapo amekagua miradi mbalimbali ya TEHAMA inayotekelezwa na kituo hicho kwa lengo la kuboresha utoaji wa huduma Serikalini. Katika z...

Soma Zaidi

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete (Mb), ameipongeza Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) kwa juhudi zake za kuendelea kujenga Serikali kidijitali kupitia mifumo mbalimbali inayorahisisha utoaji wa huduma kwa wananchi na kuongeza ufanisi katika taasisi za umma. Mhe. Ridhiwani ametoa pongezi hizo alipofungua Mkutano wa Pili wa Jumuiya za Wataalamu wa Utawala na Rasilimaliw...

Soma Zaidi

SERIKALI kupitia Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) imeendelea kupiga hatua kubwa katika kuimarisha usalama wa mifumo ya TEHAMA, kuongeza ufanisi wa huduma za kidijitali na kuunganisha taasisi za umma katika mfumo mmoja jumuishi ili kuchochea na kurahisisha utoaji wa huduma kwa wananchi. Hayo yameelezwa Aprili 17, 2026 Bungeni jijini Dodoma na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.Ridhiwani...

Soma Zaidi

Mamlaka ya Serikali Mtandao imefanya kikao chake cha nne (4) cha Baraza la Wafanyakazi tarehe 2 Aprili 2026, jijini Dar es Salaam, kwa lengo la kujadili na kupitisha rasimu ya Bajeti ya mwaka wa fedha 2026/2027. Baraza hilo lilifanyika kwa mujibu wa Sheria ya Bajeti Na. 11 ya mwaka 2015, inayozielekeza taasisi za umma kuwasilisha na kupata idhini ya bajeti zao kupitia mabaraza ya wafanyakazi, ikiwa ni sehemu ya kuimarisha uwazi na ushirikishwa...

Soma Zaidi
Mpangilio