Serikali Yazindua Mifumo ya GSD na NGAO Kuimarisha Huduma za Umma

Serikali imezindua mifumo ya Dawati la Huduma za Serikali (Government Service Directory - GSD) na NGAO, hatua inayolenga kuimarisha utoaji wa huduma za umma kwa njia za kidijiti pamoja na kuongeza usalama wa mifumo ya Serikali. Uzinduzi huo ulifanyika Juni 23, 2026, jijini Dodoma katika kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma, ambapo Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Miko ana Serikali za Mitaa(TAMISEMI), Prof. Rizi...







