emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO/IEC 27001:2022 | ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), imeshiriki katika maadhimisho ya Wiki ya Kimataifa ya Viziwi 2024, ambayo Kitaifa yanafanyika mkoani Shinyanga.Katika maadhimisho hayo, e-GA imetoa elimu kwa kundi hilo kuhusu matumizi ya Serikali Mtandao na namna inavyoweza kurahisisha upatikanaji wa huduma za Serikali kwa watu wenye mahitaji maalumu.Moja ya mfumo uliowasilishwa ni Mfumo wa Huduma za Serikali kupitia Simu ya Mkononi (mGov), ambapo Mwananchi an...

Soma Zaidi

Wakaguzi wa Ndani katika taasisi na mashirika ya umma wametakiwa kuzingatia Sheria, Kanuni, Viwango na Miongozo ya Serikali Mtandao katika ukaguzi wa miradi na mifumo ya TEHAMA ili kulinda thamani halisi ya fedha za Serikali katika miradi hiyo. Rai hiyo imetolewa jana na Mkurugenzi wa Ndani Mkuu wa Serikali Msaidizi anayeshughulikia Wizara, Idara zinazojitegemea na Mamlaka za Serikali, kutoka Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa Serikali (IAG) Bw...

Soma Zaidi

Kampuni ya Mawasiliano ya Simu za Mkononi ya Vodacom Tanzania, imefanya ziara ya kikazi katika Kituo cha Utafiti, Ubunifu na Uendelezaji wa Serikali Mtandao (eGOVRIDC) cha Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), jijini Dodoma na kufanya mazungumzo na e-GA kuhusu namna ya kuimarisha ushirikiano baina ya taasisi hizo mbili. Ziara hiyo ya Vodacom ililenga mambo muhimu matatu, ikiwemo kufahamu shughuli na jitihada mbalimbali za e-GA kwenye eneo la uta...

Soma Zaidi

Jumla ya watumishi 49 kutoka halmashauri 12, wamepatiwa mafunzo ya matumizi ya Mfumo wa Kielektroniki wa Kuratibu Vikao vya Bodi na Menejimenti (e-Board). Mafunzo hayo yaliyoratibiwa na Mamalaka ya Serikali Mtandao (e-GA) kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) yamefanyika kuanzia Septemba 18 hadi 20 mwaka huu mjini Morogoro, na kuwahusisha Maafisa TEHAMA, Maafisa wanaohusika na kuratibu vikao vya Bodi...

Soma Zaidi

Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) Dkt. Said Mohammed, ameipongeza Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) kwa jitihada inazofanya, katika mageuzi ya kidijitali Serikalini, jambo ambalo limechangia kuboresha utoaji wa huduma kwa wananchi. Dkt. Mohammed amesema hayo hivi karibuni ofisini kwake jijini Dar es Salaam, wakati alipofanya mahojiano maalum na mwandishi wetu kuhusu mchango wa e-GA katika mapinduzi ya kidijitali kwenye ta...

Soma Zaidi
Mpangilio