𝗪𝗔𝗞𝗔𝗚𝗨𝗭𝗜 𝗪𝗔 𝗡𝗗𝗔𝗡𝗜 𝗪𝗔 𝗦𝗘𝗥𝗜𝗞𝗔𝗟𝗜 𝗪𝗔𝗧𝗔𝗞𝗜𝗪𝗔 𝗞𝗨𝗝𝗜𝗘𝗟𝗜𝗠𝗜𝗦𝗛𝗔 𝗞𝗨𝗛𝗨𝗦𝗨 𝗠𝗔𝗘𝗡𝗗𝗘𝗟𝗘𝗢 𝗬𝗔 𝗧𝗘𝗛𝗔𝗠𝗔

WAKAGUZI wa Ndani wa Serikali, wametakiwa kujifunza na kupata maarifa mapya ili kuendana na mabadiliko ya Teknolojia ya Habari na mawasiliano (TEHAMA) yanayojitokeza katika maeneo yao ya kazi.Wito huo umetolewa na Meneja wa Huduma za Sheria wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Raphael Rutahiwa, wakati wa kufunga mafunzo ya siku nne ya kuwajengea uwezo Wakaguzi wa Ndani wa Serikali juu ya namna ya kuk...