emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

WAKAGUZI wa Ndani wa Serikali, wametakiwa kujifunza na kupata maarifa mapya ili kuendana na mabadiliko ya Teknolojia ya Habari na mawasiliano (TEHAMA) yanayojitokeza katika maeneo yao ya kazi.Wito huo umetolewa na Meneja wa Huduma za Sheria wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Raphael Rutahiwa, wakati wa kufunga mafunzo ya siku nne ya kuwajengea uwezo Wakaguzi wa Ndani wa Serikali juu ya namna ya kuk...

Soma Zaidi

Matumizi ya Mfumo wa kuwezesha uratibu wa shughuli za uandaaji wa vikao mbalimbali vya bodi na menejimenti katika Halmashauri na Taasisi za Umma. (e-Board), umetajwa kurahisisha uendeshaji wa vikao na kupunguza gharama za maandalizi katika halmashauri ya Manispaa ya Ilemela jijini Mwanza.Akizungumza kuhusu mfumo huo ofisini kwake jijini Mwanza, Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya Manispaa ya Ilemela Bi. Ummy Mohammed Wayayu, amesema kuwa kabla...

Soma Zaidi

Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa Serikali (IAG) Benjamin Mashauri Magai, leo Aprili 22, 2024 amefungua mafunzo ya siku nne ya Wakaguzi wa Ndani wa Taasisi na Mashirika mbalimbali ya Umma yanayofanyika jijini Arusha kuanzia leo. Mafunzo hayo yanaratibiwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa Serikali , yanalenga kuwawezesha Wakaguzi wa Ndani kufanya ukaguzi wa miradi ya TEHAMA kwa ufanisi katika mae...

Soma Zaidi

Watumishi wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA). wametakiwa kutenga muda wa kutosha kwa ajili ya masuala mbalimbali yanayohusu maisha binafsi, ili kujiepusha na msongo wa mawazo unaoweza kusababisha matatizo ya afya ya akili.Wito huo umetolewa hivi karibuni na Daktari Bingwa kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili Dkt. Garvin Kweka, wakati akitoa elimu ya afya ya akili kwa watumishi wa Mamlaka katika kikao cha watumishi kilichofanyika jijini Dar es S...

Soma Zaidi

Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), imethibitishwa kuwa Taasisi inayofuata viwango vya Kimataifa (ISO) katika kuratibu, kusimamia na kukuza jitihada za Serikali Mtandao, pamoja na kuhimiza utekelezaji wa Sera, Sheria, Kanuni, Viwango na Miongozo ya Serikali Mtandao kwa Taasisi za Umma kulingana na Kiwango cha Ubora wa Kimataifa (ISO 9001:2015).Hayo yameshwabaini na Kaimu Meneja wa Kitengo cha Usimamizi wa Vihatarishi na Ubora wa TEHAMA wa Mamlaka...

Soma Zaidi
Mpangilio