USHIRIKIANO WA e-GA NA e-GAZ WACHOCHEA MAGEUZI YA KIDIJITALI VISIWANI ZANZIBAR

Ushirikiano uliopo baina ya Wakala ya Serikali Mtandao Zanzibar (e-GAZ) na Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), katika ujenzi wa Serikali Mtandao umetajwa kuwa chachu ya mageuzi ya kidijitali visiwani Zanzibar.Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi Mtendaji wa e-GAZ Bw. Said Seif Said, alipotoa salamu za e-GAZ hivi karibuni wakati wa hafla fupi ya kufunga Kikao Kazi cha Nne cha Serikali Mtandao kilichofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Ar...