emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Uwasilishaji wa miradi ya TEHAMA Serikalini katika Tovuti ya Huduma za TEHAMA Serikalini (GISP), umetajwa kuongeza ufanisi wa miradi hiyo kutokana na kutolewa ushauri wa kitaalamu katika hatua za awali unaofanywa na Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), kabla ya utekelezaji wa miradi hiyo.Kauli hiyo imetolewa hivi karibuni na Meneja wa Usimamizi wa Miradi ya TEHAMA kutoka Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Bw.Godfrey Masanja, wakati alipofanya maho...

Soma Zaidi

Matumizi ya mfumo wa kuwezesha uratibu wa shughuli za uandaaji wa vikao mbalimbali vya bodi na menejimenti katika halmashauri na Taasisi za Umma (e-Board), yameiwezesha Halmashauri ya Manispaa ya Tabora kuokoa zaidi ya shilingi milioni 160, zilizokuwa zikitumika katika ununuzi wa vifaa mbalimbali vya uchapishaji na uaandaaji wa muhtasari wa vikao kila mwaka.Hayo yamebainishwa hivi karibuni na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Manispaa hiyo B...

Soma Zaidi

Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), imemtangaza Msaidizi wa Mtendaji Mkuu Bi. Zuhura Mwindi, kuwa mfanyakazi bora wa Mamlaka kwa mwaka 2024, baada ya kuibuka mshindi kwa kupata kura nyingi dhidi ya washindani wengine.Uchaguzi wa mfanyakazi bora wa Mamlaka ulifanyika April 25 mwaka huu, baada ya kuwashindanisha wafanyakazi bora 10 kutoka katika Idara na vitengo na kisha Menejimenti kupiga kura ili kumpata mfanyakazi bora wa Mamlaka kwa mwaka wa fe...

Soma Zaidi

Ilianza siku na hatimaye miaka mitatu sasa imetimia tangu Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kuingia madarakani.Ilikua Ijumaa ya Machi 19 mwaka 2021, siku ambayo historia iliwekwa kwa Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuapishwa rasmi na Mhe. Prof. Ibrahim Juma, Jaji Mkuu wa Tanzania, kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na kuanza kuongoza rasmi Serikali ya Aw...

Soma Zaidi

HAKUNA mtandao!!!?, hakuna tatizo kazi iendelee! Hii ndiyo kauli unayoweza kusema ukiwa unatumia toleo jipya la baruapepe za serikali (GMS Client) ambayo inachagizwa na jina jipya la e-Barua.Mfumo huu uliobuniwa na kusanifiwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao umeingia katika maboresho muhimu katika kujibu changamoto mbalimbali zinazojitokeza kwa watumiaji wake ambao ni watumishi ndani ya wizara,halmashauri na taasisi za Umma.Moja ya changamoto iliyo...

Soma Zaidi
Mpangilio