emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO/IEC 27001:2022 | ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Deus Clement Sangu (Mb), ameipongeza Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), kwa kutengeneza mifumo ya kielektroniki ya ukusanyaji wa fedha za Serikali ambayo imesaidia kuzuia upotevu wa fedha za umma. Mhe. Sangu amesema hayo Septemba 05 mwaka huu, wakati alipotembelea Makao Makuu ya Ofisi za e-GA zilizopo Mtumba jijini Dodoma, na kufanya mazungumzo na watumishi wa e...

Soma Zaidi

Serikali imesema kuwa, itaendelea kupunguza pengo la kidijiti lililopo kati ya mijini na vijijini ili kuhakikisha mapinduzi ya kidijitali yanaleta maendeleo chanya na usawa katika maeneo yote sambamba na kuboresha hali ya kiuchumi kwa wananchi. Kauli hiyo imetolewa na Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw. Xavier Daudi, wakati akifungua warsha ya mafunzo na mashauriano ya siku mbili kuhusu usimamizi wa huduma za um...

Soma Zaidi

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Mhandisi, Benedict Ndomba, amewataka wanafunzi wanaofanya mafunzo kwa vitendo na mafunzo kazini katika fani ya TEHAMA, kutumia fursa hiyo kujikita zaidi katika kuzielewa teknolojia mpya zinazoibukia ili kuhakikisha zinaleta tija kwa Taifa.Ndomba ameyasema hayo leo jijini Dodoma, wakati akifungua programu ya mafunzo kwa vitendo (practical training) pamoja na mafunzo kazini (internship) kwa mwak...

Soma Zaidi

Warsha ya siku mbili ya kujadili matumizi na umuhimu wa teknolojia ya ‘Blockchain’ pamoja na Sarafu Mtandao (Techcon Tanzania 2024) imeanza leo katika hoteli ya Protea jijini Dar es Salaam.Warsha hiyo imeandaliwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), kwa kushirikiana na Chama cha Umoja wa Blockchain Afrika (UABA) ambapo taasisi mbalimbali za umma na binafsi zikiwemo benki, zinashiriki katika warsha hiyo.

Soma Zaidi

Taasisi za umma nchini, zimetakiwa kuwahimiza wadau wake kutumia mfumo wa e-Mrejesho kuwasilisha kero na maoni mbalimbali sambamba na taasisi hizo kuhakikisha zinashughulikia maoni na kero hizo kwa wakati, kupitia mfumo wa e-Mrejesho ili kuendelea kujenga imani kwa wadau wake.Wito huo umetolewa na Meneja Mawasiliano wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Bi. Subira Kaswaga, wakati wa Maonesho ya 48 ya Kimataifa ya Biashara maarufu kama ‘Sabasaba’...

Soma Zaidi
Mpangilio