emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mh. George Simbachawene, amewapongeza wanafunzi wa Vyuo Vikuu wanaoshiriki programu maalum ya mafunzo kwa vitendo inayotolewa na Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), kwa kubuni mifumo mbalimbali ya TEHAMA, inayosaidia kuongeza ufanisi wa utendaji kazi Serikalini. Mhe. Simbachawene alitoa pongezi hizo Septemba 18, wakati alipofanya ziara ya kikazi katika Kituo cha Utaf...

Soma Zaidi

Utekelezaji wa Jitihada za Serikali Mtandao, unategemea uwepo wa mfumo imara wa ukaguzi utakaoboresha na kuongeza ufanisi wa utendaji kazi katika kaguzi mbalimbali zinazofanywa na wakaguzi ndani na nje ya Taasisi za Umma.Mfumo mpya wa kaguzi ujulikanao kama e-Ukaguzi ni mfumo unaosaidia na kuimarisha utendaji kazi wa kaguzi za ndani za Taasisi za Umma, ikiwemo kuandaa mpango kazi wa mwaka, kutekeleza kaguzi, kufanya ufuatiliaji wa hoja mbalimbali...

Soma Zaidi

Watumishi wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) wametakiwa kubadili mtindo wa maisha ili kuwa na afya bora. Hayo yamesemwa na Meneja wa Rasilimali Watu na Utawala Bw. Eric Kalembo katika zoezi la upimaji afya za watumishi lililofanyika katika Ofisi za Mamlaka ya Serikali Mtandao, jijini Dar Es Salaam. Bw. Kalembo amesema kuwa Idadi kubwa ya watumishi wa Mamlaka ni vijana ambao ni chachu ya maendeleo ya Taifa hivyo wanapaswa kuwa na afya bor...

Soma Zaidi

Wanafunzi 55 kutoka Vyuo Vikuu 11 nchini waliopo katika programu maalumu ya mafunzo kwa vitendo inayoendeshwa na Kituo cha Utafiti, Ubunifu na Uendelezaji wa Serikali Mtandao (e-GovRIDC) wametembelea Makao Makuu ya e-GA yaliyopo Mtumba jijini Dodoma Septemba 08, 2023. Akipokea ugeni huo kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu, Mkurugenzi wa Huduma na Uwezeshaji wa e-GA Bw.Salum Mussa amewataka vijana hao kutumia uzoefu walioupata katika kituo hicho kubun...

Soma Zaidi

Taasisi na Halmashauri mbalimbali nchini zimeendelea kuunganishwa na kunufaika na matunda ya ubunifu ya wataalamu wa ndani yatokanayo na mfumo wa e-Board.Uanzishwaji wa mfumo huu ni Juhudi za Serikali kupitia Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) za kuhakikisha matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) yanaimarishwa ili kuboresha utendaji kazi wa Taasisi za Umma nchini.Mfumo wa eBoard ni mfumo unaoratibu vikao vya Bodi, Kamati za Bodi...

Soma Zaidi
Mpangilio