emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Mamlaka ya Serikali Mtanda (e-GA) inalenga kuimarisha zaidi uhusiano wake na Chuo Kikuu cha Mzumbe kupitia mkataba wa makubaliano (MOU) unaotarajiwa kufanyiwa maboresho hivi karibuni. Hayo yameelezwa na Mkurugenzi Mkuu wa e-GA Eng. Benedict Ndomba, wakati wa kikao cha Pamoja kati ya e-GA na Chuo Kikuu cha Mzumbe kilichofanyika leo katika ofisi za e-GA jijini Dodoma, kwa ajili ya kujadili utekelezaji wa mkataba wa kwanza wa makubaliano (MOU)....

Soma Zaidi

Meneja Mawasiliano Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), Bi. Subira Kaswaga, amezitaka Taasisi za Umma nchini kuendesha vikao kidijitali kwa kutumia mfumo wa e-Mikutano ili kupunguza gharama za uendeshaji wa vikao. Kaswaga alitoa rai hiyo jana, alipofanya mazungumzo na mwandishi wetu ofisini kwake jijini Dodoma kuhusu faida zitokanazo na mfumo wa e-Mikutano. Alibainisha kuwa, mfumo wa e-Mikutano unawawezesha watumishi wa Taasisi za umma kufan...

Soma Zaidi

Mkaguzi wa Ndani Mkuu Msaidizi, Ofisi ya Mkaguzi wa Ndani Mkuu wa Serikali Bw. Paison Mwamnyasi, amewataka Wakaguzi wa Ndani kuzingatia sheria, kanuni, viwango na miongozo ya Serikali Mtandao wanapofanya ukaguzi kwenye miradi na Mifumo ya TEHAMA, ili waweze kutoa ushauri wenye tija kwa serikali kupitia taarifa zao za ukaguzi. Bw. Mwamnyasi aliyasema hayo hivi karibuni wakati wa ufunguzi wa awamu ya pili ya mafunzo maalum kwa Wakaguzi wa Nd...

Soma Zaidi

Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) imetengeneza programu ya kijamii ya mawasiliano iitwayo Oxygen inayowezesha kufanya mawasiliano kwa njia ya mazungumzo, ujumbe mfupi (SMS), sauti, video, picha pamoja na aina mbalimbali za mafaili.Programu hii inafanya kazi kama programu nyingine za kijamii na shirikishi zikiwemo WhatsApp, Telegram na Skype, huku programu ya Oxygen ikiwa na vitu vingi vya ziada.Meneja wa Kituo cha Utafiti na Ubunifu na Uendeleza...

Soma Zaidi
Mpangilio