TAASISI ZA UMMA ZINAWAJIBIKA KISHERIA KUISHIRIKISHA e-GA KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI NA MIFUMO YA TEHAMA

Utekelezaji wa jitihada za Serikali Mtandao katika taasisi za umma, unategemea kuwepo kwa Sera, Sheria, Kanuni, Viwango, Miongozo na Mikakati Madhubuti ili kuhakikisha matumizi sahihi na salama ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) katika taasisi hizo yanazingatiwa. Pamoja na kuhakikisha usalama wa matumizi ya TEHAMA katika taasisi za umma, uwepo wa sera, sheria, kanuni na miongozo ya Serikali Mtandao husaidia pia kulinda maslahi ya...







