emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO/IEC 27001:2022 | ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Utekelezaji wa jitihada za Serikali Mtandao katika taasisi za umma, unategemea kuwepo kwa Sera, Sheria, Kanuni, Viwango, Miongozo na Mikakati Madhubuti ili kuhakikisha matumizi sahihi na salama ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) katika taasisi hizo yanazingatiwa. Pamoja na kuhakikisha usalama wa matumizi ya TEHAMA katika taasisi za umma, uwepo wa sera, sheria, kanuni na miongozo ya Serikali Mtandao husaidia pia kulinda maslahi ya...

Soma Zaidi

Waziri wa Kilimo Mhe.Hussein Bashe, amezindua Mfumo wa kielektroniki wa Usimamizi wa Vyama vya Ushirika (MUVU) unaowezesha na kurahisisha uhamasishaji, usimamizi na uendeshaji wa Vyama vya Ushirika kidijitali. Uzinduzi huo ulifanyika hivi karibuni wakati wa kilele cha maadhisho ya siku ya ushirika duniani yaliyofanyika katika viwanja vya Nanenane Ipuli Mjini Tabora, na kushuhudiwa na viongozi mbalimbali wa serikali, wananchi pamoja na waandish...

Soma Zaidi

Naibu Waziri Uwekezaji, Viwanda na Biashara Mhe.Exaud Kigahe, amesema Mfumo wa Kielektroniki wa Usimamizi wa Vyama vya Ushirika (MUVU) utasaidia kutatua changamoto mbalimbali zilikokuwa zikivikabili vyama vya ushirika nchini.Mhe.Kigae alitoa kauli hiyo juzi, wakati wa uzinduzi wa wiki ya maadhimisho ya siku ya Ushirika Duniani yanayofanyika katika viwanja vya Nanenane Ipuli Mkoani Tabora.Alisema, kumekuwa na changamoto mbalimbali katika uendeshaj...

Soma Zaidi

Kamati ya ufundi ya serikali mtandao imefanya kikao cha kwanza na kujadili mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja na namna ya utekelezaji wa majukumu yake, ili kuhakikisha jitihada za serikali mtandao zinaimarika na kuleta tija kwa Umma. Kikao hicho kilifanyika jana, katika Ofisi za Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) jijini Dodoma, na kuongozwa na Kaimu Mwenyekiti Bw. Eric Kitali Mkurugenzi wa TEHAMA, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mit...

Soma Zaidi

Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete, amewata watumishi wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) kufanya kazi kwa kibidii na kuongeza ubunifu katika eneo la TEHAMA, ili kuibua mifumo itakayoweza kutatua matatizo ya watanzania. Ridhiwani alisema hayo hivi karibuni, wakati wa kikao kazi cha watumishi wa Mamlaka ya Serikali Mtandao kilichofanyika katika ofisi za Mamlaka zilizopo mji wa S...

Soma Zaidi
Mpangilio