emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Jumla ya watumishi 49 kutoka halmashauri 12, wamepatiwa mafunzo ya matumizi ya Mfumo wa Kielektroniki wa Kuratibu Vikao vya Bodi na Menejimenti (e-Board).Mafunzo hayo yaliyoratibiwa na Mamalaka ya Serikali Mtandao (e-GA) kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) yamefanyika kuanzia Septemba 18 hadi 20 mwaka huu mjini Morogoro, na kuwahusisha Maafisa TEHAMA, Maafisa wanaohusika na kuratibu vikao vya Bodi, Me...

Soma Zaidi

Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) Dkt. Said Mohammed, ameipongeza Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) kwa jitihada inazofanya, katika mageuzi ya kidijitali Serikalini, jambo ambalo limechangia kuboresha utoaji wa huduma kwa wananchi.Dkt. Mohammed amesema hayo hivi karibuni ofisini kwake jijini Dar es Salaam, wakati alipofanya mahojiano maalum na mwandishi wetu kuhusu mchango wa e-GA katika mapinduzi ya kidijitali kwenye taasis...

Soma Zaidi

Uwekezaji katika rasilimali watu, miundombinu, fedha, sera na sheria ya Serikali Mtandao umetajwa kuwa kichocheo katika jitihada za ujenzi wa Serikali Mtandao na kurahisisha utendaji kazi Serikalini pamoja na utoaji wa huduma mbalimbali kwa wananchi.Hayo yamebainishwa jana (09/09/2024) na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Mhandisi Benedict Ndomba, wakati akitoa taarifa kuhusu utekelezaji wa jitihada za Serikali Mtandao kwenye...

Soma Zaidi

NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Deus Clement Sangu (Mb), ameipongeza Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), kwa kutengeneza mifumo ya kielektroniki ya ukusanyaji wa fedha za Serikali ambayo imesaidia kuzuia upotevu wa fedha za umma.Mhe. Sangu amesema hayo Septemba 05 mwaka huu, wakati alipotembelea Makao Makuu ya Ofisi za e-GA zilizopo Mtumba jijini Dodoma, na kufanya mazungumzo na watumishi wa e-GA,...

Soma Zaidi

Serikali imesema kuwa, itaendelea kupunguza pengo la kidijiti lililopo kati ya mijini na vijijini ili kuhakikisha mapinduzi ya kidijitali yanaleta maendeleo chanya na usawa katika maeneo yote sambamba na kuboresha hali ya kiuchumi kwa wananchi.Kauli hiyo imetolewa na Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw. Xavier Daudi, wakati akifungua warsha ya mafunzo na mashauriano ya siku mbili kuhusu usimamizi wa huduma za umma n...

Soma Zaidi
Mpangilio